Raisi Malawi On the Way Out; Kikwete is also On Way out!

Kigoma baada ya kuwachwa nyuma kimaendeleo na awamu zote, leo hii kwa muda mfupi tu wa Kikwete tunaona mabarabara ya lami yakiunganisha huko na mikoa mingine ya jirani..
Fortunately naijua Kigoma,katika kampeni za uchaguzi 2010 Kikwete aliahidi kuifanya Kidoma kuwa kama Dubai dada labda huijui Kigoma.Kigoma sio mjini tu tembelea Kibondo,Kasulu na kwingineko kweli Kikwete kafanya maajabu.

Leo hii tunaona umeme Kigoma ambao ulisahauliwa miaka yote, tena ikiwa wewe unalia na mgao, Kigoma wanaumeme wao pekee
Huijui Kigoma dada Faiza,kwa kifupi hakuna umeme wa uhakika Kigoma.MFANO KASULU wanatumia generator tena za watu,kwa kifupi hakuna umeme hata Kibondo sasa wewe Unasema Kigoma ipi kuna umeme?

Kuhusu mgao wa umeme unaoendelea sasa ni mtiririko wa umeme mdogo ulioachwa na awamu zilizopita. Ukitazama wakati wa Kikwete ni mikataba mingapi iliyowekwa ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo kwa muda mrefu iutakuta ni wakati huu wa Kikwete ndio anasaini mikataba ya uhakika ya muda mrefu. Hutegemei umeme mkubwa ukasaini mkataba leo ukapata umeme kesho. Isitoshe, umeme mdogo wa muda mfupi ni tatizo la uzembe wa Tanesco.
Dada faizah,awamu ya kwanza Ya mwalimu tulizalisha MW 60 ambazo zilikuwa excess kwa wakati ule,tatizo la umeme limeanza wakati hasa wa awamu ya pili tena kiindi hicho Kikwete akiwa Waziri wa Nishati.Mikataba unayosemea ndio hii ya RICHIMOND? ina maana hujui ufisadi uliopo kwenye mikataba hii? pekue thread.

Uzembe wa TANESCO? ina maana raisi wetu anashindwa kuwawajibisha TANESCO kwanini? ni wazembe so what next?

majenereta tunayo ya kutosha, IPTL, SYMBIAN (dowans), AGREKKO, ARTUMAS yote hiyo na mengine mipya imekuja wiki iliopita na mengine inakuja kabala yakumalizka August. Hayo pekee yanatosha kukuonesha kuwa Kikwete anafanya kazi ya maana sana. Huna hoja katika haya.
Hatutaki hadithi tunahitaji umeme dada Faiza hiyo symbian tangu imekuja kuna mabadiliko gani? dada yangu usijiweke upofu kwa hili
 
Malawi president calls for calm, 18 dead in protests

r

BLANTYRE (Reuters) - At least 18 people have been killed in clashes between police and demonstrators during violent nationwide protests against President Bingu wa Mutharika, the Malawian health ministry said on Thursday.
Spokesman Henry Chimbali confirmed 10 deaths in the northern cities of Karonga and Mzuzu, where protesters angry at chronic fuel shortages(kikwete tatizo la umeme ni moja ya mapinduzi) and Mutharika's perceived autocracy ransacked the offices of his Democratic Progressive Party (DPP) on Wednesday.
The others died in the capital, Lilongwe, and the southern commercial hub of Blantyre after police and troops fired teargas to disperse crowds demanding Mutharika quit as leader of the impoverished nation of 13 million.
"These figures are based on those casualties that are coming through to the hospitals. Some died in hospital while some were brought by police already dead," Chimbali told Reuters. A further 41 people were injured, six critically, he added.
The bloody crackdown in the normally peaceful former British colony is likely to intensify public anger against Mutharika, a former World Bank economist first elected in 2004, and could destroy his already troubled relationship with the donors who keep his government afloat.
As riot police confronted groups of youths in the capital, Mutharika took to the airwaves to appeal for calm, saying he was happy to hear the grievances of opponents who accuse him of ignoring civil liberties and ruining the economy. (kikwete unasikiliza?)
"Stop the rioting and let's sit down to discuss," he said(kikwete unasikiliza?) in a 12-minute address on state radio that also hinted at a fiercer crackdown. "I have a responsibility, based on the powers vested in me by the constitution, to bring law and order."
The unrest is unprecedented in the history of Malawi, which was ruled for decades after independence in 1964 by the iron-fisted Hastings Banda, a UK-trained medical doctor.
It is also a rare echo south of the Sahara of the popular uprisings that have engulfed north Africa and the Middle East over the last seven months.
"AUTOCRATIC"
Mutharika has presided over six years of high-paced but aid-funded growth, and the sheen came off earlier this year when he became embroiled in a diplomatic row with Britain, Malawi's biggest donor, over a leaked embassy cable that referred to him as "autocratic and intolerant of criticism"(kuna tofauti gani na kikwete hapa?).
The cable led to the expulsion of Britain's ambassador to Lilongwe, and in response, Britain expelled Malawi's representative in London and suspended aid worth $550 million over the next four years.
The freeze has left a yawning hole in the budget of a country that has relied on handouts for 40 percent of its revenues, and intensified a foreign currency shortage that is threatening the kwacha's peg at 150 to the dollar.
The dollar crunch has also pushed up fuel prices and exacerbated an already chronic energy shortage (ccm kwa umeme tutawaweka jela nyie), making a government economic growth forecast of 6.6 percent for this year look increasingly unrealistic.
As the unrest erupted on Wednesday, state media broadcast a long economics lecture by Mutharika in which he harangued critics, including the International Monetary Fund (IMF). (kikwete IMF na donors hawakutaki sasa na wamechoka na wizi wenu)
0rdinary Malawians say they are fed up with hearing that foreigners are to blame for all the country's woes.
"The demonstrations have sent a message to the president that he's too detached from reality and has to act fast," said Fainess Mandewe, as she queued for fuel at a filling station on the outskirts of Blantyre.
"We need fuel, we need electricity. Blaming donors won't help in any way."

Malawi president calls for calm, 18 dead in protests | Top News | Reuters

18 Dead as Malawi Protests Continue Into Second Day | News | English

May Take
1. Malawi nchi yenye wananchi milioni 13 inaelekea kumwondoa raisi wao kutokana na rushwa na hali mbaya ya uchumi. Je watanzania tupo milioni 43 tunatekeleza lini pledge yetu ya kumwondoa kikwete kwa uhuni wa rushwa, ajira, ufisadi na mengi yasioisha?

2. Ukweli unaonekana sasa Waafrika tunafuata Arab Spring na tunataka best for ourselves na sasa yanahamia Tanzania. Je unataka tuanze lini?

3. Wananchi wote waliouliwa Arusha, Mara na wengine wamekufa kwa ajili ya kutetetea haki za Mtanzania. Je upo tayari kuwapa heshima zao?

The time is here and we will do it. Stay tune for brief announcement here JF.

time will come lakini unajua ni mbaya kuhimiza maandamano wakati wewe ukiwa nchi za watu unaangalia kwenye screen kama familia yako imepona ama lah..nahisi ni kuna njia mbadala kwanza zikitumika na kikwete akashindwa kuzifuata tutakuja uko unakotaka twende binafsi ningefurahi kukuona
na Passport ya Tanzania ukiniongoza kwenye maandamano
 
wanamagamba wamejidhatiti, siku hizi kila watu wawili wanapolisi wake, na dar wote huwa niwaoga sana, kumbuka njia za kutokea ni mbili tu , ya mbagara, moro road , lakini yeye zipo nyingi, kuna boti za kutosha kukimbia, dawa ni kuondoa kwanza yale majabari mawili EC na EL mgoja limekimbia kwao na halitarudi, limeenda kutengeneza mazingira ya wenzao
 
Kigoma baada ya kuwachwa nyuma kimaendeleo na awamu zote, leo hii kwa muda mfupi tu wa Kikwete tunaona mabarabara ya lami yakiunganisha huko na mikoa mingine ya jirani. Leo hii tunaona umeme Kigoma ambao ulisahauliwa miaka yote, tena ikiwa wewe unalia na mgao, Kigoma wanaumeme wao pekee, labda wazembe wa Tanesco wasipeleke mafuta lakini Kikwete kafanya huko na anaendelea kufanya. Kwa Kigoma huna hoja. Kuhusu mgao wa umeme unaoendelea sasa ni mtiririko wa umeme mdogo ulioachwa na awamu zilizopita. Ukitazama wakati wa Kikwete ni mikataba mingapi iliyowekwa ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo kwa muda mrefu iutakuta ni wakati huu wa Kikwete ndio anasaini mikataba ya uhakika ya muda mrefu. Hutegemei umeme mkubwa ukasaini mkataba leo ukapata umeme kesho. Isitoshe, umeme mdogo wa muda mfupi ni tatizo la uzembe wa Tanesco. Majenereta tunayo ya kutosha, IPTL, SYMBIAN (dowans), AGREKKO, ARTUMAS yote hiyo na mengine mipya imekuja wiki iliopita na mengine inakuja kabala yakumalizka August. Hayo pekee yanatosha kukuonesha kuwa Kikwete anafanya kazi ya maana sana. Huna hoja katika haya.

Nikisema huna akili nitakuwa nakosea? wewe kinachokusumbua ni zidumu fikira za kikwete , niachofikiria mimi wewe ni shabiki wa kikwete na si ccm ,hayo maneno yanatakiwa yatamkwe na mtu ambaye ni chizi au mpumbavu, sasa kama unakiri wewe uko hivyo fine ongea
wewe ni zao la kifisadi na ndiyo maana unatetea kikwete na mafisadi wengine, kwanza for your information tunakujua vizuri wewe ni msomali tena si mtanzania tuache wenye nchi yetu tuirekebishe wewe nenda kaungane na al shabab huko kwenu, ccm haina jema utaitetea wee mwisho wa siku wanakufanya kama Bashe
angalia sana wewe mtoto wa magamba
 
Watu wanasubiri lianzishwe, wanaotuharibia wanajulikana si wanatajana wenyewe!
 
Chief kweli FF ni msomali anajulikana, ukimuuliza zaidi atakuambia antokea Laela kama kawaida yao. Lakini iko siku atarudi kambini kwao huko Dardabu. Hao ndo wanaoleta udini nchi hii.
 
Kikwete ataondoka madarakani baada ya miaka minne kuanzia sasa kama katiba inavyosema na labda (Mungu amnusuru) umauti au ugonjwa wa kumfanya asiweze kufanya kazi.

Kikwete anachapa kazi na analeta mabadiliko ya kweli katika hii nchi kuliko Rais mwengine yeyote kabla yake. Abishae na aoneshe ni wapi ambapo hakuna maendeleo ya dhati.
Kikwete anafanya kazi nzuri ya kukupapasa makalio?
 
Hii ndio sababu za ccm, hivi unafikiri ukitishia wananchi kwamba hawawezi kuandamana au kuchukua hatua zao itasaidia nyie kupona. Haya maneno ya kutaka kusema eti sio una passport ya Tanzania ndio moja ya tactics, unajuaje haya? Unafikiri sisi tunajadili hizi issues tunapate kuchangia hoja bila kujua inchi yetu. Tatizo ya nyie maparachichi ni kutokujua jinsi ya kujadili issues na mmezaliwa kudanganya na damu yenu imejaa uongo kuanzia kichwani mpaka kwenye kucha za miguu. You guys really need brain surgery maybe this might help the sickness.

The movement already started and we moving on to remove kikwete, you can't stop this.


time will come lakini unajua ni mbaya kuhimiza maandamano wakati wewe ukiwa nchi za watu unaangalia kwenye screen kama familia yako imepona ama lah..nahisi ni kuna njia mbadala kwanza zikitumika na kikwete akashindwa kuzifuata tutakuja uko unakotaka twende binafsi ningefurahi kukuona
na Passport ya Tanzania ukiniongoza kwenye maandamano
 
Back
Top Bottom