Rais Magufuli, mwishoni mwa sakata la "mchanga" tutawahitaji Kikwete na Mkapa

SANCTUS ANACLETUS

JF-Expert Member
Mar 5, 2016
3,337
4,664
Ni hivi bila kupepesa macho tunataka kukusaidia kazi. Umejitoa mno kuliko hata tulivyotarajia ufanye.Tunataka sasa vita hii ya kiuchumi uliyoaianzisha ishike kasi.Ikolee na kila mtu akolee.

Mkapa na Kikwete walikuwa na macho lakini hawakuwaona hawa "maharamia Wa kisomali" Wa Madini yetu. Mkapa na Kikwete walikuwa na masikio lakini hawakusikia vilio vya watanzania kuwa tunaibiwa.

Naam hawakusikia wala kuona ndugu zetu wakifia hospitalini kwa kukosa matibabu kabisa au kucheleweshwa kwenye matibabu sababu ya ubovu au ukosefu wa miundombinu.

Hawa wenzetu Ben na JK hawakusikia wamama wajawazito wakifa kwa maumivu makali ya kukosa huduma bora za kujifungulia.Kisa nini? Maharamia ya kiuchumi ya kisomali hayakulipa kodi stahiki.Lakini cha ajabu na kukerehesha ni kwamba Ben na JK walikuwa wanasikia tu sauti za hao "wawekezaji" pale walipohitaji maeneo zaidi ya migodi ya kutuibia. Orodha ya ujinga wote uliofanyika kipindi chote hiki dhidi ya hao wezi na wengine ni ndefu kishenzi.

Sasa itoshe kusema kuwa Kwa mantiki hiyo sasa mwishoni mwa kushughulikia jambo hili tutawaomba Kikwete na Mkapa waje mbele ya watanzania waungame waziwazi toka nafsini mwao jinsi walivyoweza kuvumilia ushenzi Wa hao wawekezaji.

Waje waombe radhi kwa kuzembea kiasi cha namna hii hadi leo kuna maeneo tumeachiwa mashimo.Rais Magufuli aunde tume ya maridhiano ili hawa ndugu zetu watoke nao "walie" mbele ya watanzania kwamba hata mikopo anayohangaika Magufuli kukopa imeletelezwa na wao kutosikia ya watanzania licha ya kwamba walikuwa na taarifa zote ama toka kwa wanyetishaji wa serikali au raia Wa kawaida.

Lazima waje waungame kama kweli ni waungwana na wanajitambua na kwamba kwa kiasi kikubwa maisha yetu yameharibiwa nao.
 
Hapa issue iko kwa watendaji mbalimbali ktk sekta ya madini waliokuwa wanapata 10% zao kiulaini ndiyo shida wala si maraisi wastaafu!!
 
Hapana... Kikwete alisalitiwa na wasomi wetu kama ilivyo kawaida yetu!!! At least political will alionesha.

Tusisahau JK ndie kiongozi wa kwanza kuunda kamati kushughulikia haya mambo!!! Ile anaingia tu madarakani akatangaza hadharani kwamba inabidi suala la madini litazamwe upya. Kiiukweli Mkapa alivurunda kweli kweli kwenye madini!!!

Tusisahau Mkapa alifikia hadi kujiuzia mgodi wa Kiwira.

Inawezekana na yeye alipigwa changa la macho na wasomi wetu. Hata hivyo, bado alikuwa na nafasi kubwa sana ya kushituka kabla hajamaliza muda wake. Migodi mingi mikubwa ama ilizinduliwa wakati wa Mkapa au mikataba yake ilitokana na sheria iliyoundwa wakati wa Mkapa... kama vile Buzwagi.

But don't forget, kipindi chote hicho eti mshauri wa Mkapa kwenye masuala ya kisheria alikuwa Nyoka la Makengeza!!! Andrew Chenge alikuwa ndie Mwanasheria Mkuu wa Serikali from 1993 to 2005.

Matokeo yake, from 1997 to late 2005 Mkapa alilala kitanda kimoja na haya madudu lakini wala hakushituka; au niseme akajifanya hayaoni!!!

Nakumbuka ndani ya mwaka mmoja JK akaunda chombo fulani... sikumbuki jina lake lakini kazi ya kile chombo ilikuwa kukagua (audit) dhahabu inayozalishwa.

Baada ya hapo akaunda Tume ya Jaji Mark Bomani.

Wajumbe maarufu ambao walikuwamo kwenye hiyo tume ni pamoja na Zitto Kabwe, Harrison Mwakyembe, John Cheyo na Idd Simba. Aidha kulikuwa na mtaalamu mmoja wa masuala ya kodi kutoka PriceWaterHouseCoopers.

Pamoja na mambo mengine, kamati ya Bomani ilikuwa na jukumu la kuangalia sheria na mikataba ya madini. Hawa jamaa walipita kila mahali na walipitia kila nyaraka!

Baada ya kazi ya Bomani ndipo ikaundwa Tanzania Mineral Auditing Agency... TMAA ambayo ilichukua kazi ya kitengo nilichosema hapo juu ambacho kilijikita kwenye dhahabu peke yake!!

TMAA ikawa si kwa dhahabu peke yake bali kukagua madini yote na kuhakikisha hakuna madini yanayotoroshwa.

Aidha TMAA wakapewa jukumu la kufanya study as to why mitambo ya kuchenjua mchanga wa dhahabu (copper concentrates) isijengwe hapa hapa!!

Hawa TMAA walipewa hadi kodi zetu... wakasafiri hadi Uchina na Ujapani kufanya utafiti wao!!!

NI hawa ndio walitoa ripoti mwaka 2011 ambayo inatumiwa na wachambuzi mbalimbali kama reference.

Ni hawa ndio ambao kwenye ripoti yao walibainisha nini na nini kinapatikana kwenye huo mchanga na kwa kiwango gani.

Na ni hawa ndio ambao wali-conclude it's not economically viable kujenga smelters hapa
Tanzania.

Miners nao wakasema "it's not economical for us to have smelters!"

TIP (my own): For a miner, inaweza kuwa uneconomical lakini kwa serikali inaweza kuwa economical!

Kwahiyo, kwa nafasi yake nadhani JK alitekeleza wajibu wake kwa sababu, pamoja na mambo mengine ni hii tume ya Bomani ndie iliyopelekea sera mpya ya madini na kupanda kiwango cha mrahaba kwa 1%. Na ndiyo ilibadilisha aina ya ownership kwa Tanzanite!

Tatizo ninaloona ni kwamba sekta yenyewe ya madini tulikuwa tumeshaivurunda since day one na uzibaji wa viraka wala usingesaidia na hata sasa hautasaidia.

Aidha, sidhani kama wabunge wali-push vya kutosha kuhakikisha mapendekezo yote ya Tume ya Bomani yanafanyiwa kazi!

Lakini mtu kama Muhongo alikuwa na nafasi yake hata kama hakuwepo from day one! Tusisahau, TMAA walitoa ripoti yao early 2011 miaka michache tu kabla Muhongo hajaingia nishati.

Muhongo kwa taaluma yake alikuwa na nafasi kubwa sana ya ku-argue na ku-debate ripoti ya TMAA kwa sababu bado ilikuwa mbichi!!! Lakini tatizo na yeye huyu akili yake yote ilikuwa kwenye gesi!!!

Lakini watu mbaya kuliko wote ni Makatibu Wakuu waliopita Nishati & Madini. Hawa ndio watendaji wakuu wa wizara na kimsingi, tunatarajia wawe ni watu wenye taaluma inayohusiana na wizara husika ili asichezewe akili na watu wa chini yake!!!

Hapa ndipo unapokuja kushangaa mbobezi katika masuala ya elimu kama Kitila Mkumbo anaenda kuwa Katibu Mkuu Wizara ya maji wakati hata kufunga koki am certain hafahamu anaanzia wapi!!!!
 
Hapana... Kikwete alisalitiwa na wasomi wetu kama ilivyo kawaida yetu!!! At least political will alionesha.

Tusisahau JK ndio kiongozi wa kwanza kuunda kamati kushughulikia haya mambo!!! Ile anaingia tu madarakani akatangaza hadharani kwamba inabidi suala la madini litazamwe upya. Kiiukweli Mkapa alivurunda kweli kweli kwenye madini!!! Tusisahau Mkapa alifikia hadi kujiuzia mgodi wa Kiwira.

Inawezekana na yeye alipigwa changa la macho na wasomi wetu lakini bado alikuwa na nafasi kubwa sana ya kushituka kabla hajamaliza muda wake. Migodi mingi makubwa ama ilizinduliwa wakati wa Mkapa au mikataba yake ilitokana na sheria iliyoundwa wakati wa Mkapa... kama vile Buzwagi.

From 1997 to late 2005 Mkapa alilala kitanda kimoja na haya madudu lakini wala hakushituka!!!!

Nakumbuka ndani ya mwaka mmoja JK akaunda chombo fulani... sikumbuki jina lake lakini kazi ya kile chombo ilikuwa kukagua (audit) dhahabu inayozalishwa.

Baada ya hapo akaunda Tume ya Jaji Mark Bomani. Wajumbe maarufu ambao walikuwamo kwenye hiyo tume ni pamoja na Zitto Kabwe, Harrison Mwakyembe, John Cheyo na Idd Simba. Aidha kulikuwa na mtaalamu mmoja wa masuala ya kodi kutoka PriceWaterHouseCoopers.

Pamoja na mambo mengine, kamati ya Bomani ilikuwa na jukumu la kuangalia sheria na mikataba ya madini. Hawa jamaa walipita kila mahali.

Baada ya kazi ya Bomani ndipo ikaundwa Tanzania Mineral Auditing Agency... TMAA na kuchukua kazi ya kitengo nilichosema hapo juu ambacho kilijikita sana kwenye dhahabu!!

TMAA ikawa si kwa dhahabu peke yake bali kukagua madini yote na kuhakikisha hakuna madini yanayotoroshwa.

Aidha TMAA wakapewa jukumu la kufanya study as to why mitambo ya kuchenjua mchanga wa dhahabu (copper concentrates) isijengwe hapa hapa!!

Hawa TMAA walipewa hadi kodi zetu... wakasafiri hadi Uchina na Ujapani kufanya utafiti wao!!!

NI hawa ndio ambao walitoa ripoti mwaka 2011 ambayo inatumiwa na wachambuzi mbalimbali kama reference.

Ni hawa ndio ambao kwenye ripoti yao walibainisha nini na nini kinapatikana kwenye huo mchanga na kwa kiwango gani.

Na ni hawa ndio ambao wali-conclude it's not economically viable for miners kujenga smelters hapa Tanzania.

Kwahiyo, kwa nafasi yake nadhani JK alitekeleza wajibu wake kwa sababu, pamoja na mambo mengine ni hii tume ya Bomani ndie iliyopelekea sera mpya ya madini na kupanda kiwango cha mrahaba kwa 1%.

Tatizo ninaloona ni kwamba sekta yenyewe ya madini tulikuwa tumeshaivurunda since day one na uzibwaji wa viraka wala usingesaidia. Aidha, sidhani kama wabunge wali-push vya kutosha kuhakikisha mapendekezo yote ya Tume ya Bomani yanafanyiwa kazi!

Vile vile mtu kama Muhongo alikuwa na nafasi yake hata kama hakuwepo from day one! Tusisahau, TMAA walitoa ripoti yao early 2011 miaka michache tu kabla Muhongo hajaingia nishati.

Muhongo kwa taaluma yake alikuwa na nafasi kubwa sana ya ku-debate ripoti ya TMAA kwa sababu bado ilikuwa mbichi!!! Lakini tatizo na yeye huyu akili yake yote ilikuwa kwenye gesi!!!
Nimependa uandishi wako, umeacha nafasi vizuri, hii inapelekea msomaji kutokupata uvivu wala macho kuuma wakati wa kusoma hivyo humfanya aelewe vizuri kilichoandikwa.

Big up.
 
Hapa issue iko kwa watendaji mbalimbali ktk sekta ya madini waliokuwa wanapata 10% zao kiulaini ndiyo shida wala si maraisi wastaafu!!

Unafikiria watumishi hao walikuwa wanaandaa na/au wanazembea hivi hivi tu? Ni sheria ngapi za Madini za hovyo zilizopitishwa na Bunge watu wakazipigia kelele lakini hao Maraisi wakafunga masikio?
 
Hapana... Kikwete alisalitiwa na wasomi wetu kama ilivyo kawaida yetu!!! At least political will alionesha.

Tusisahau JK ndie kiongozi wa kwanza kuunda kamati kushughulikia haya mambo!!! Ile anaingia tu madarakani akatangaza hadharani kwamba inabidi suala la madini litazamwe upya. Kiiukweli Mkapa alivurunda kweli kweli kwenye madini!!!

Tusisahau Mkapa alifikia hadi kujiuzia mgodi wa Kiwira.

Inawezekana na yeye alipigwa changa la macho na wasomi wetu. Hata hivyo, bado alikuwa na nafasi kubwa sana ya kushituka kabla hajamaliza muda wake. Migodi mingi mikubwa ama ilizinduliwa wakati wa Mkapa au mikataba yake ilitokana na sheria iliyoundwa wakati wa Mkapa... kama vile Buzwagi.

But don't forget, kipindi chote hicho eti mshauri wa Mkapa kwenye masuala ya kisheria alikuwa Nyoka la Makengeza!!! Andrew Chenge alikuwa ndie Mwanasheria Mkuu wa Serikali from 1993 to 2005.

Matokeo yake, from 1997 to late 2005 Mkapa alilala kitanda kimoja na haya madudu lakini wala hakushituka; au niseme akajifanya hayaoni!!!

Nakumbuka ndani ya mwaka mmoja JK akaunda chombo fulani... sikumbuki jina lake lakini kazi ya kile chombo ilikuwa kukagua (audit) dhahabu inayozalishwa.

Baada ya hapo akaunda Tume ya Jaji Mark Bomani.

Wajumbe maarufu ambao walikuwamo kwenye hiyo tume ni pamoja na Zitto Kabwe, Harrison Mwakyembe, John Cheyo na Idd Simba. Aidha kulikuwa na mtaalamu mmoja wa masuala ya kodi kutoka PriceWaterHouseCoopers.

Pamoja na mambo mengine, kamati ya Bomani ilikuwa na jukumu la kuangalia sheria na mikataba ya madini. Hawa jamaa walipita kila mahali na walipitia kila nyaraka!

Baada ya kazi ya Bomani ndipo ikaundwa Tanzania Mineral Auditing Agency... TMAA ambayo ilichukua kazi ya kitengo nilichosema hapo juu ambacho kilijikita kwenye dhahabu peke yake!!

TMAA ikawa si kwa dhahabu peke yake bali kukagua madini yote na kuhakikisha hakuna madini yanayotoroshwa.

Aidha TMAA wakapewa jukumu la kufanya study as to why mitambo ya kuchenjua mchanga wa dhahabu (copper concentrates) isijengwe hapa hapa!!

Hawa TMAA walipewa hadi kodi zetu... wakasafiri hadi Uchina na Ujapani kufanya utafiti wao!!!

NI hawa ndio walitoa ripoti mwaka 2011 ambayo inatumiwa na wachambuzi mbalimbali kama reference.

Ni hawa ndio ambao kwenye ripoti yao walibainisha nini na nini kinapatikana kwenye huo mchanga na kwa kiwango gani.

Na ni hawa ndio ambao wali-conclude it's not economically viable kujenga smelters hapa
Tanzania.

Miners nao wakasema "it's not economical for us to have smelters!"

TIP (my own): For a miner, inaweza kuwa uneconomical lakini kwa serikali inaweza kuwa economical!

Kwahiyo, kwa nafasi yake nadhani JK alitekeleza wajibu wake kwa sababu, pamoja na mambo mengine ni hii tume ya Bomani ndie iliyopelekea sera mpya ya madini na kupanda kiwango cha mrahaba kwa 1%. Na ndiyo ilibadilisha aina ya ownership kwa Tanzanite!

Tatizo ninaloona ni kwamba sekta yenyewe ya madini tulikuwa tumeshaivurunda since day one na uzibaji wa viraka wala usingesaidia na hata sasa hautasaidia.

Aidha, sidhani kama wabunge wali-push vya kutosha kuhakikisha mapendekezo yote ya Tume ya Bomani yanafanyiwa kazi!

Lakini mtu kama Muhongo alikuwa na nafasi yake hata kama hakuwepo from day one! Tusisahau, TMAA walitoa ripoti yao early 2011 miaka michache tu kabla Muhongo hajaingia nishati.

Muhongo kwa taaluma yake alikuwa na nafasi kubwa sana ya ku-argue na ku-debate ripoti ya TMAA kwa sababu bado ilikuwa mbichi!!! Lakini tatizo na yeye huyu akili yake yote ilikuwa kwenye gesi!!!

Lakini watu mbaya kuliko wote ni Makatibu Wakuu waliopita Nishati & Madini. Hawa ndio watendaji wakuu wa wizara na kimsingi, tunatarajia wawe ni watu wenye taaluma inayohusiana na wizara husika ili asichezewe akili na watu wa chini yake!!!

Hapa ndipo unapokuja kushangaa mbobezi katika masuala ya elimu kama Kitila Mkumbo anaenda kuwa Katibu Mkuu Wizara ya maji wakati hata kufunga koki am certain hafahamu anaanzia wapi!!!!

Mkuu umeeleza vizuri sana! Jambo moja naomba ulione katika uhusika na JK: hivi unafikiria ni nini kimemfanya Magufuli agundue kuwa tulikuwa tunaibiwa hadi kuamua kuunda Kamati ile? Unafikiria JK hakuwa akipewa taarifa na wale jamaa "Wa Sirisiri?" Kama alipewa kwa nini hakuwahi kuchukua hatua zozote licha ya kwamba alishaweka protective mechanisms mbalimbali kama ulivyoeleza? Unafikiria JK anastahili exemption kwa sababu tu ya protection set up aliyofanya na kusahau kufuatilia kuona kama hizo mechanisms zilikuwa effective?Ndio maana ninasema atoke naye hadharani awaambie watanzania ilikuwaje ikatokea namna hii? Atoke aombe radhi ili vizazi vijavyo viwe na kumbukumbu ya kila mhusika na kiwango cha uhusika wake.
 
Ni hivi bila kupepesa macho tunataka kukusaidia kazi.Umejitoa muno kuliko hata tulivyotarajia ufanye.Tunataka sasa vita hii ya kiuchumi uliyoaianzisha ishike kasi.Ikolee na kila mtu akolee.Mkapa na Kikwete walikuwa na macho lakini hawakuwaona hawa "maharamia Wa kisomali" Wa Madini yetu.Mkapa na Kikwete walikuwa na masikio lakini hawakusikia vilio vya watanzania kuwa tunaibiwa.Naam hawakusikia wala kuona ndugu zetu wakifia hospitalini kwa kukosa matibabu kabisa au kucheleweshwa kwenye matibabu sababu ya ubovu au ukosefu Wa miundombinu.Hawa wenzetu Ben na Jk hawakusikia wamama wajawazito wakifa kwa maumivu makali ya kukosa huduma bora za kujifungulia.Kisa nini? Maharamia ya kiuchumi ya kisomali hayakulipa kodi stahiki.Lakini cha ajabu na kukerehesha ni kwamba Ben na JK walikuwa wanasikia tu sauti za hao "wawekezaji" pale walipohitaji maeneo zaidi ya migodi ya kutuibia .Orodha ya ujinga wote uliofanyika kipindi chote hiki dhidi ya hao wezi na wengine ni ndefu kishenzi.

Sasa itoshe kusema kuwa Kwa mantiki hiyo sasa mwishoni mwa kushughulikia jambo hili tutawaomba Kikwete na Mkapa waje mbele ya watanzia waungame waziwazi toka nafsini mwao jinsi walivyoweza kuvumilia ushenzi Wa hao wawekezaji.Waje waombe radhi kwa kuzembea kiasi cha namna hii hadi leo kuna maeneo tumeachiwa mashimo.Raisi Magufuli aunde time ya maridhiano ili hawa ndugu zetu watoke nao "walie" mbele ya watanzania kwamba hata mikopo anayohangaika Magufuli kukopa imeletekezwa na wao kutosikia ya watanzania licha ya kwamba walikuwa na taarifa zote ama toka kwa wanyetishaji wa serikali au raia Wa kawaida.Lazima waje waungame kama kweli ni waungwana na wanajitambua na kwamba kwa kiasi kikubwa maisha yetu yameharibiwa nao.
Bila kusahau cha ccm pia
 
Hapa issue iko kwa watendaji mbalimbali ktk sekta ya madini waliokuwa wanapata 10% zao kiulaini ndiyo shida wala si maraisi wastaafu!!
Kuna yule jamaa wa sengerema Ngereja huyo alitakiwa abebwe mzegamzega na kukamuliwa vilivyo,amekula sana 10% kila kona
 
M
Ni hivi bila kupepesa macho tunataka kukusaidia kazi.Umejitoa muno kuliko hata tulivyotarajia ufanye.Tunataka sasa vita hii ya kiuchumi uliyoaianzisha ishike kasi.Ikolee na kila mtu akolee.Mkapa na Kikwete walikuwa na macho lakini hawakuwaona hawa "maharamia Wa kisomali" Wa Madini yetu.Mkapa na Kikwete walikuwa na masikio lakini hawakusikia vilio vya watanzania kuwa tunaibiwa.Naam hawakusikia wala kuona ndugu zetu wakifia hospitalini kwa kukosa matibabu kabisa au kucheleweshwa kwenye matibabu sababu ya ubovu au ukosefu Wa miundombinu.Hawa wenzetu Ben na Jk hawakusikia wamama wajawazito wakifa kwa maumivu makali ya kukosa huduma bora za kujifungulia.Kisa nini? Maharamia ya kiuchumi ya kisomali hayakulipa kodi stahiki.Lakini cha ajabu na kukerehesha ni kwamba Ben na JK walikuwa wanasikia tu sauti za hao "wawekezaji" pale walipohitaji maeneo zaidi ya migodi ya kutuibia .Orodha ya ujinga wote uliofanyika kipindi chote hiki dhidi ya hao wezi na wengine ni ndefu kishenzi.

Sasa itoshe kusema kuwa Kwa mantiki hiyo sasa mwishoni mwa kushughulikia jambo hili tutawaomba Kikwete na Mkapa waje mbele ya watanzia waungame waziwazi toka nafsini mwao jinsi walivyoweza kuvumilia ushenzi Wa hao wawekezaji.Waje waombe radhi kwa kuzembea kiasi cha namna hii hadi leo kuna maeneo tumeachiwa mashimo.Raisi Magufuli aunde time ya maridhiano ili hawa ndugu zetu watoke nao "walie" mbele ya watanzania kwamba hata mikopo anayohangaika Magufuli kukopa imeletekezwa na wao kutosikia ya watanzania licha ya kwamba walikuwa na taarifa zote ama toka kwa wanyetishaji wa serikali au raia Wa kawaida.Lazima waje waungame kama kweli ni waungwana na wanajitambua na kwamba kwa kiasi kikubwa maisha yetu yameharibiwa nao.
Uchimbaji wa madini wowote ule mwisho wake ni kucha mashimo....... na hii ni kwa sababu madini hayakai juu ya ardhi yanakaa chini ya miamba ardhini, ndivyo Mwenyezi Mungu alivyohifadhi mawe yake ya thamani. Hata mikataba ingekuwa mizuri kiasi gani mashimo ndiyo matokeo ya mwisho baada ya uchimbaji. Ila, unatakiwa ukiwa na mashimo uwe pia na fedha mifukoni na fedha kwa ajili ya kurekebisha uharibifu ulifanywa na uchimbaji huo
 
Ni hivi bila kupepesa macho tunataka kukusaidia kazi. Umejitoa mno kuliko hata tulivyotarajia ufanye.Tunataka sasa vita hii ya kiuchumi uliyoaianzisha ishike kasi.Ikolee na kila mtu akolee.

Mkapa na Kikwete walikuwa na macho lakini hawakuwaona hawa "maharamia Wa kisomali" Wa Madini yetu. Mkapa na Kikwete walikuwa na masikio lakini hawakusikia vilio vya watanzania kuwa tunaibiwa.

Naam hawakusikia wala kuona ndugu zetu wakifia hospitalini kwa kukosa matibabu kabisa au kucheleweshwa kwenye matibabu sababu ya ubovu au ukosefu wa miundombinu.

Hawa wenzetu Ben na JK hawakusikia wamama wajawazito wakifa kwa maumivu makali ya kukosa huduma bora za kujifungulia.Kisa nini? Maharamia ya kiuchumi ya kisomali hayakulipa kodi stahiki.Lakini cha ajabu na kukerehesha ni kwamba Ben na JK walikuwa wanasikia tu sauti za hao "wawekezaji" pale walipohitaji maeneo zaidi ya migodi ya kutuibia. Orodha ya ujinga wote uliofanyika kipindi chote hiki dhidi ya hao wezi na wengine ni ndefu kishenzi.

Sasa itoshe kusema kuwa Kwa mantiki hiyo sasa mwishoni mwa kushughulikia jambo hili tutawaomba Kikwete na Mkapa waje mbele ya watanzania waungame waziwazi toka nafsini mwao jinsi walivyoweza kuvumilia ushenzi Wa hao wawekezaji.

Waje waombe radhi kwa kuzembea kiasi cha namna hii hadi leo kuna maeneo tumeachiwa mashimo.Rais Magufuli aunde time ya maridhiano ili hawa ndugu zetu watoke nao "walie" mbele ya watanzania kwamba hata mikopo anayohangaika Magufuli kukopa imeletekezwa na wao kutosikia ya watanzania licha ya kwamba walikuwa na taarifa zote ama toka kwa wanyetishaji wa serikali au raia Wa kawaida.

Lazima waje waungame kama kweli ni waungwana na wanajitambua na kwamba kwa kiasi kikubwa maisha yetu yameharibiwa nao.


Sikubaliani na hoja yako kihivyo. Si kwamba kina 'Achimwene' Ben na JK walikuwa hawajuwi hili jambo, wale walikuwa marais wetu na ndiyo waliochaguwa mawaziri/wasimamizi wa hizi idara husika, unataka kutuambia kuwa wale mawaziri walikuwa na akili zaidi ya hao marais? Kila rais LAZIMA anakuwa na uelewa wa nini kinaendelea katika idara Fulani chini ya serikali yake. Ukweli ulio sahihi ni kwamba hawa marais walijuwa kila kilichotendeka na kuna uwezekana mkubwa kuwa na wao walihusika moja kwa moja kwenye ile mikataba fake. Hawa marais wanapata kitu chochote huenda kila mwezi au mwaka toka kwa hawa wawekezaji. Tafadhali rais Magufuli, kwa kuwa umejitolea kwenye hili sakata....nakuomba uwawajibishe kina Mkapa, Kikwete na mawaziri wao kwa manufaa ya taifa. LAZIMA wakamatwe na kunyongwa ama kufungwa maisha. Lete heshima nchini, tafadali.
 
Sikubaliani na hoja yako kihivyo. Si kwamba kina 'Achimwene' Ben na JK walikuwa hawajuwi hili jambo, wale walikuwa marais wetu na ndiyo waliochaguwa mawaziri/wasimamizi wa hizi idara husika, unataka kutuambia kuwa wale mawaziri walikuwa na akili zaidi ya hao marais? Kila rais LAZIMA anakuwa na uelewa wa nini kinaendelea katika idara Fulani chini ya serikali yake. Ukweli ulio sahihi ni kwamba hawa marais walijuwa kila kilichotendeka na kuna uwezekana mkubwa kuwa na wao walihusika moja kwa moja kwenye ile mikataba fake. Hawa marais wanapata kitu chochote huenda kila mwezi au mwaka toka kwa hawa wawekezaji. Tafadhali rais Magufuli, kwa kuwa umejitolea kwenye hili sakata....nakuomba uwawajibishe kina Mkapa, Kikwete na mawaziri wao kwa manufaa ya taifa. LAZIMA wakamatwe na kunyongwa ama kufungwa maisha. Lete heshima nchini, tafadali.
pagumu hapo...inabidi kubadili vifungu vya katiba vinavyotoa immunity kwa a former president..i dont see that happening kwa massm yanayotanguliza uchama mbele..
 
Hapa issue iko kwa watendaji mbalimbali ktk sekta ya madini waliokuwa wanapata 10% zao kiulaini ndiyo shida wala si maraisi wastaafu!!
biashara kubwa kama hii maraisi wasijue kweli?
 
Ni hivi bila kupepesa macho tunataka kukusaidia kazi. Umejitoa mno kuliko hata tulivyotarajia ufanye.Tunataka sasa vita hii ya kiuchumi uliyoaianzisha ishike kasi.Ikolee na kila mtu akolee.

Mkapa na Kikwete walikuwa na macho lakini hawakuwaona hawa "maharamia Wa kisomali" Wa Madini yetu. Mkapa na Kikwete walikuwa na masikio lakini hawakusikia vilio vya watanzania kuwa tunaibiwa.

Naam hawakusikia wala kuona ndugu zetu wakifia hospitalini kwa kukosa matibabu kabisa au kucheleweshwa kwenye matibabu sababu ya ubovu au ukosefu wa miundombinu.

Hawa wenzetu Ben na JK hawakusikia wamama wajawazito wakifa kwa maumivu makali ya kukosa huduma bora za kujifungulia.Kisa nini? Maharamia ya kiuchumi ya kisomali hayakulipa kodi stahiki.Lakini cha ajabu na kukerehesha ni kwamba Ben na JK walikuwa wanasikia tu sauti za hao "wawekezaji" pale walipohitaji maeneo zaidi ya migodi ya kutuibia. Orodha ya ujinga wote uliofanyika kipindi chote hiki dhidi ya hao wezi na wengine ni ndefu kishenzi.

Sasa itoshe kusema kuwa Kwa mantiki hiyo sasa mwishoni mwa kushughulikia jambo hili tutawaomba Kikwete na Mkapa waje mbele ya watanzania waungame waziwazi toka nafsini mwao jinsi walivyoweza kuvumilia ushenzi Wa hao wawekezaji.

Waje waombe radhi kwa kuzembea kiasi cha namna hii hadi leo kuna maeneo tumeachiwa mashimo.Rais Magufuli aunde time ya maridhiano ili hawa ndugu zetu watoke nao "walie" mbele ya watanzania kwamba hata mikopo anayohangaika Magufuli kukopa imeletekezwa na wao kutosikia ya watanzania licha ya kwamba walikuwa na taarifa zote ama toka kwa wanyetishaji wa serikali au raia Wa kawaida.

Lazima waje waungame kama kweli ni waungwana na wanajitambua na kwamba kwa kiasi kikubwa maisha yetu yameharibiwa nao.


Kwa nini Fisadi Lowasa na Sumaye umewaacha?
 
Mkuu umeeleza vizuri sana! Jambo moja naomba ulione katika uhusika na JK: hivi unafikiria ni nini kimemfanya Magufuli agundue kuwa tulikuwa tunaibiwa hadi kuamua kuunda Kamati ile? Unafikiria JK hakuwa akipewa taarifa na wale jamaa "Wa Sirisiri?" Kama alipewa kwa nini hakuwahi kuchukua hatua zozote licha ya kwamba alishaweka protective mechanisms mbalimbali kama ulivyoeleza? Unafikiria JK anastahili exemption kwa sababu tu ya protection set up aliyofanya na kusahau kufuatilia kuona kama hizo mechanisms zilikuwa effective?Ndio maana ninasema atoke naye hadharani awaambie watanzania ilikuwaje ikatokea namna hii? Atoke aombe radhi ili vizazi vijavyo viwe na kumbukumbu ya kila mhusika na kiwango cha uhusika wake.

Wale jamaa wa Ki-Sirisiri wako kwa ajili ya Vyama vya upinzani na wanaohoji tu mkuu
 
Kwa nini Fisadi Lowasa na Sumaye umewaacha?

Kwani Lowassa na Sumaye walikuwa Ma-Rais??Rais ndiye aliyesaini sasa unataka Sumaye afanye nini??

Na kwenye hili Lissu amelisema sana,tusiangalie sura alikuwa nani,kama ni issue ya kuwjaibika wahusika wote wawajibike pamoja na aliyekuwa Mwansheria wa Wizara ambaye ni Naibu Waziri leo.

Usifumbe macho ukaishia na Lowassa na Sumaye,tunataka HAKI itendekea MAJAMBAZI yote hata wale wenye vichwa vidogo na matumbo makubwa wote waje kujibu
 
JK aliliona vizuri sana (rejea hotuba yake ya kwanza bungeni) lakini baadhi ya watz nikiwemo mm tulishangaa nn kilimtokea baada ya hotuba ile maana akaanza kusifia 0.00ngapi sijui tunazopewa!! Hataree!!!
 
Kwani Lowassa na Sumaye walikuwa Ma-Rais??Rais ndiye aliyesaini sasa unataka Sumaye afanye nini??

Na kwenye hili Lissu amelisema sana,tusiangalie sura alikuwa nani,kama ni issue ya kuwjaibika wahusika wote wawajibike pamoja na aliyekuwa Mwansheria wa Wizara ambaye ni Naibu Waziri leo.

Usifumbe macho ukaishia na Lowassa na Sumaye,tunataka HAKI itendekea MAJAMBAZI yote hata wale wenye vichwa vidogo na matumbo makubwa wote waje kujibu


Vipi Fisadi Lowasa na Sumaye? Wao hawapaswi kuwajibika? Isitoshe aliyechangia Kampeni za Fisadi Lowasa na chadema ni Rostam Azizi ambaye ndiye fisadi papa la Madini yetu, hilo nalo utalipinga?
 
Back
Top Bottom