Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Awamu hii ni awamu inayojiapambanua kama ni awamu ya kubana matumizi na ni awamu ya viongozi wazalendo na zaidi kucheza na hela za umma ni kujitafutia matatizo.
Swali langu kwa hii serikal ni kwanini spirit hii hatuioni katika hizi fedha za kugharimia chaguzi ndogo ambazo ni mabilioni ya hela za walipa kodi fedha ambazo zingeweza kuokolewa kwa kubadili tu katiba na sheria ya uchaguzi kuruhusu wanaohama vyama wahame na ubunge au udiwani wao na hivyo kuokoa mabilioni haya yanayotumika kugharamia chaguzi hizi za marudio?
Kama tumedili sheria kadhaa ndani ya kipindi hiki kifupi tu ikiwemo sheria ya takwimu hivi karibuni, kwani hatufanyi hivyo kwa sheria ya uchaguzi ili tuokoe mabilioni haya?
Je, ni kweli mna dhamira ya dhati ya kubana matumizi na kuokoa hela za walipa kodi wa nchi hii?
Au kulinda nidhamu na uti wa wanasiasa kwa vyama vyao ndio jambo lenye masilahi zaidi kwa nchi kuliko hili la kuokoa mabalioni haya yanayoteketea katika hizi chaguzi za kila siku?
Tusipojihurumia sisi wenyewe, nani mwingine wa kutuhurumia?
Wazungu wana msemo: "Charity begins at home."
Swali langu kwa hii serikal ni kwanini spirit hii hatuioni katika hizi fedha za kugharimia chaguzi ndogo ambazo ni mabilioni ya hela za walipa kodi fedha ambazo zingeweza kuokolewa kwa kubadili tu katiba na sheria ya uchaguzi kuruhusu wanaohama vyama wahame na ubunge au udiwani wao na hivyo kuokoa mabilioni haya yanayotumika kugharamia chaguzi hizi za marudio?
Kama tumedili sheria kadhaa ndani ya kipindi hiki kifupi tu ikiwemo sheria ya takwimu hivi karibuni, kwani hatufanyi hivyo kwa sheria ya uchaguzi ili tuokoe mabilioni haya?
Je, ni kweli mna dhamira ya dhati ya kubana matumizi na kuokoa hela za walipa kodi wa nchi hii?
Au kulinda nidhamu na uti wa wanasiasa kwa vyama vyao ndio jambo lenye masilahi zaidi kwa nchi kuliko hili la kuokoa mabalioni haya yanayoteketea katika hizi chaguzi za kila siku?
Tusipojihurumia sisi wenyewe, nani mwingine wa kutuhurumia?
Wazungu wana msemo: "Charity begins at home."