Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Ndivyo tunaweza kusema! Raisi Magufuli amevunja rekodi kwa kupaisha deni la taifa ndani ya miaka takribani mitatu aliyokaa madarakani tofauti na watangulizi wake.
1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.
2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.
3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.
4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.
5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)
Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?
Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?
Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.
Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...
Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi
Tusisahau zigo la deni la taifa
Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni
Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG
1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.
2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.
3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.
4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.
5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)
Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?
Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?
Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.
Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...
Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi
Tusisahau zigo la deni la taifa
Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni
Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG