Raisi Magufuli avunja rekodi. Awafunika watangulizi wake wote ndani ya muda mfupi!

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Ndivyo tunaweza kusema! Raisi Magufuli amevunja rekodi kwa kupaisha deni la taifa ndani ya miaka takribani mitatu aliyokaa madarakani tofauti na watangulizi wake.

1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.

2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.

3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.

4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.

5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)

Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?

Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?

Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.

Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...

Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi

Tusisahau zigo la deni la taifa

Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni

Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG
 
Huyu Jiwe atakuwa anakopa kwa jina la taifa lakini anazitumia yeye na watu wake, kama mobutu.
Kila mwezi makusanyo ni trilioni na ushei, anakopa pesa kibao, lakini bado mzunguko wa hela haupo mitaani. Kila sekta inalalamika.
Ndo mana yuko tayari kuua ili watu wasizungumze kuhusu mabaya yake na ufisadi wake.
 
Tutapambana Na Rushwa Na Wizi Serikalini Bila Kigugumizi Chochote, Dawa Ya Jipu Ni Kulitumbua
 
Ndivyo tunaweza kusema! Raisi Magufuli amevunja rekodi kwa kupaisha deni la taifa ndani ya miaka takribani mitatu aliyokaa madarakani tofauti na watangulizi wake.

1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.

2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.

3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.

4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.

5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)

Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?

Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?

Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.

Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...

Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi

Tusisahau zigo la deni la taifa

Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni

Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG

Injinia Poyo Bashiru, SOMA HIYOOOOO! Kumbe Lissu anaugua "deko" lakini anauelewa mkubwa mno kuliko wewe poyo wa siasa.
 
Ndivyo tunaweza kusema! Raisi Magufuli amevunja rekodi kwa kupaisha deni la taifa ndani ya miaka takribani mitatu aliyokaa madarakani tofauti na watangulizi wake.

1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.

2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.

3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.

4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.

5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)

Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?

Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?

Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.

Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...

Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi

Tusisahau zigo la deni la taifa

Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni

Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG
Wakati wa Kikwete kulikuwa na raha sana ya kuishi Tanzania.

Awamu hii ya tano unga wa mahindi umefikia kilo shillingi 800 na Magufuli alipoingia ulikuwa 1400. Ni hatua kubwa sana. Sema vyuma vimekaza.
 
Wakati wa Kikwete kulikuwa na raha sana ya kuishi Tanzania.

Awamu hii ya tano unga wa mahindi umefikia kilo shillingi 800 na Magufuli alipoingia ulikuwa 1400. Ni hatua kubwa sana. Sema vyuma vimekaza.

🙄🙄🙄🙄 Bibi Shikamooo...
 
Ndivyo tunaweza kusema! Raisi Magufuli amevunja rekodi kwa kupaisha deni la taifa ndani ya miaka takribani mitatu aliyokaa madarakani tofauti na watangulizi wake.

1. Raisi JK Nyerere 1961-1985 aliacha deni la taifa la shilingi trilioni 3.

2. Raisi AH Mwinyi 1985-1995 (miaka 10) alipaisha deni la taifa kutoka trilioni 3 hadi trilioni 18 sawa na ongezeko la trilioni 1.8 kila mwaka.

3. Raisi BW Mkapa 1995-2005 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 18. Akalipa na kulipunguza hadi trilioni 10 sawa na punguzo la bilioni 800 kila mwaka.

4. Raisi JM Kikwete 2005-2015 (miaka 10) alikuta deni la taifa ni trilioni 10 akalipaisha hadi trilioni 40 sawa na ongezeko la trilioni 3 kila mwaka.

5. Raisi JP Magufuli Novemba 2015- Novemba 2018 takribani miaka mitatu, deni hilo limepaa hadi trilioni 61.8 sawa na ongezeko la trilioni 21.8 (trilioni 7.2 kila mwaka)

Je, kwa ambao wamefanikiwa kuishi awamu zote hizi, wapi kulikuwa/kuna unafuu wa maisha kwa ujumla?

Hapa ni nani Raisi wa wanyonge(nomino) na nani Raisi wa wanyonge(kitenzi)?

Kwasasa kila mtanzania (hata mtoto anayenyonya) anadaiwa zaidi ya shilingi milioni moja ili kulipa deni hilo.

Awamu inayo kusanya kodi kuliko awamu zote ...

Deni la taifa juu,upinzani wataka CAG kufanya ukaguzi

Tusisahau zigo la deni la taifa

Deni la Taifa lafika Sh53 trilioni

Deni la Taifa Lazidi Kukua Lafikia Shilingi Trilioni 61.8 | UDAKU SPECIAL BLOG
We have to do something kwa kweli kwa manufaa ya vizazi vijacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom