Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wajumbe wa NEC Waliokuwa Mwanza Kesho saa 3 Asubuhi watapanda bure na Kurejea Dar es salaam kwa Kutumia Ndege ya Mpya Ya ATCL iliyokuwa inashikiliwa Canada na Mabeberu.
Watasafiri bure Kushuhudia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Hata Hivyo ifahamike kuwa Ndege Hiyo Mpya bado ipo kwenye Safari za majaribio kabla ya kuanza kutoa huduma Rasmi.
Tunatekeleza
Watasafiri bure Kushuhudia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Hata Hivyo ifahamike kuwa Ndege Hiyo Mpya bado ipo kwenye Safari za majaribio kabla ya kuanza kutoa huduma Rasmi.
Tunatekeleza