masdinero masproblemas
JF-Expert Member
- Mar 19, 2022
- 224
- 174
Kwani urusi hakuna uhuru wa kuabudu? Bila ya taifa la marekani hao wakimbizi wangetoka wapi? Usimsifu kwa kupokea watu aliosababishia shida. Watu kila siku huko Afrika magharibi wanakimbilia ulaya kwa njaa na umasikini wa nchi zao unaopelekea hali ya amani kutokuwepo. Bila serikali imara usalama na utulivu ni ndoto. Rasilimali zinalisha taifa kama Ufaransa kwa wizi... nchi zinabaki masikini wakipokelewa wakimbizi Paris utasema asante Ufaransa? Kongo na Afrika ya kati machafuko miongo kadhaa.. serikali zinachezewa na kilevi cha rushwa unaoletwa na hao wamarekani & co wanabeba mali govt zinashindwa kuhimili kuendesha nchi kwa usalama na utulivu. Wakongoman wakipewa uraia ubelgiji utasemz asante Belgium? Serikali za Ureno, Uswizi n.k. zinakubali hela za mafuta Angola kuwekwa kwao bila kuhoji wakipokea wakimbizi utasema asante Western Europe?Tushukuru kuwepo kwa Taifa la marekani na kusema thanks you America. Je urusi ingeshika hatamu ya Dunia vijana wangapi wangeswekwa kinguvu vijijini? Je uhuru wa kuabudu ungekuwepo?jamani muone uhweli wa mambo jinsi gani Urusi walitaka kusambaza sera za hovyo sana duniani. kwa nini wakimbizi wote duniani hukimbilia Ulaya magharibi, Israel na USA na hawataki kwenda Urusi? ushamuona msomali kakimbilia Urusi?
Hakuna wema duniani. Hizo nchi zisingeimport au kuruhusu mashirika yao kufanya wizi na rushwa nje ya mipaka yao kama wanavyobanana kwao ingekuwa ndio wema zaidi ya kupokea wakimbizi, kutoa misaada au mikopo.