Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,098
jamani embu ona hii aibu ya uwanja wa kigoma wa ndege na alieandika hapa amelipwa si chini ya lakimoja na nusu na risiti imewekwa kwenye faili
tunatia aibu embu kabla ya kufikiria kujaza ndege anza kuangalia viwanja vya kuruka ndege viko hali gan mh raisi na waziri wako msanii
tunatia aibu embu kabla ya kufikiria kujaza ndege anza kuangalia viwanja vya kuruka ndege viko hali gan mh raisi na waziri wako msanii