Mimi ningemshauri Raisi Kikwete badala ya kulalamika atubu mabaya kwa Watanzania na atoe ahadi na kufanya jitihada za kubadilika. Kikwete hagombei tena urahisi huu ni wakati wa kufanya kazi bila siasa!.
Raisi aambie watu ukweli.
1. Kwamba amekuwa na urafiki wa karibu na mafisadi kitu ambacho si kizuri kwa nchi na jamii yetu
2. Tatizo la umeme ni kubwa kuliko alivyokua akifikiria na aombe msamaha kwa mikataba mibaya na aseme anafanya nini kurekebisha shughuli.
3. Aseme ukweli kwamba mambo mengi amefanya kisiasa badala ya manufaa ya nchi. Atoe mifano na kusonga mbele
4. Aseme ukweli kwamba Chadema ni nzuri kwa nchi na CCM inatakiwa kubadilika atoe mifano na asema atafanya nini
5. Aseme ukweli kwamba amekuwa kiongozi thaifu kwa muda na upole wake umetumika vibaya na mafisadi wengi. Asema atakuwa mkali na kuweka maamuzi kwa munufaa ya Tanzania
Raisi aambie watu ukweli.
1. Kwamba amekuwa na urafiki wa karibu na mafisadi kitu ambacho si kizuri kwa nchi na jamii yetu
2. Tatizo la umeme ni kubwa kuliko alivyokua akifikiria na aombe msamaha kwa mikataba mibaya na aseme anafanya nini kurekebisha shughuli.
3. Aseme ukweli kwamba mambo mengi amefanya kisiasa badala ya manufaa ya nchi. Atoe mifano na kusonga mbele
4. Aseme ukweli kwamba Chadema ni nzuri kwa nchi na CCM inatakiwa kubadilika atoe mifano na asema atafanya nini
5. Aseme ukweli kwamba amekuwa kiongozi thaifu kwa muda na upole wake umetumika vibaya na mafisadi wengi. Asema atakuwa mkali na kuweka maamuzi kwa munufaa ya Tanzania