Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Ni utaratibu ambao sijawahi kuuona kwa hapa kwetu Tanzania. Imeripotiwa na vyombo vya habari nchi kuwa Raisi Kikwete aliwatuza pesa wacheza ngoma wote waliokuwa wanatumbuiza......na hali kadhalika imeripotiwa kuwa Mama Salma Kikwete aliwapa pesa tasilimu wagonjwa wote wodini kama 'eti' asante kwa mama mmoja kujifungua mtoto na kumuita Salma.
Jamani, utaratibu huu wa kugawa manoti wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu, siyo hongo hii kwa wapiga kura?
Jamani, utaratibu huu wa kugawa manoti wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu, siyo hongo hii kwa wapiga kura?