Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Imeelezwa kuwa sababu ya kuzomewa Raisi wa Afrika ya Kusini,Jacob Zuma wakati wa msiba wa mzee Mandela,ni kitendo cha Raisi huyo kununua nyumba yenye thamani ya Randi milioni 200 ambazo ni sawa na sh 360 bilioni.
CHANZO:MWANANCHI
MY TAKE:
Raisi Kikwete na wenzako mmejifunza nini katika tukio la Raisi Zuma kuzomewa?
CHANZO:MWANANCHI
MY TAKE:
Raisi Kikwete na wenzako mmejifunza nini katika tukio la Raisi Zuma kuzomewa?