Rais zuia.....

Pumzi

JF-Expert Member
Dec 5, 2013
321
54
Rais kikwete kama siyo tangazo hebu wazuie hawa clouds media group ile sauti yako inayosikika unasifia fursa radio cloudz fm...mim nahisi kama wanakuchora vile kila muda wanapiga tu kama tangazo lao au kama ni tangazo wakulipe kama vipi
 
Malimbukeni tu,hzo ni dalili za kutokujiamin,yaan kuwepo sauti ya jk bas wanaona clouds ndo kama radio ya london,wangejua wakina kanye ambavyo hawana shobo na obama tena rais wa dunia sembuse huyo wenu wa east africa?? Ulimbukeni tu,
 
Ni kweli yani wao wanaona kama ile sauti pale ndio kila k2
Malimbukeni tu,hzo ni dalili za kutokujiamin,yaan kuwepo sauti ya jk bas wanaona clouds ndo kama radio ya london,wangejua wakina kanye ambavyo hawana shobo na obama tena rais wa dunia sembuse huyo wenu wa east africa?? Ulimbukeni tu,
 
Back
Top Bottom