Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

Yes
..analalamika mtu alovujisha siri...akaenda mbali zaidi aanze kutafta mchawi alovujisha hii ishu...hatari kwakweli...!wao wanaona kawaida...haikutakiwa kuvuja..wanadhan watu wote wajinga
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!
 
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!


hawa ndo wa kushikwa na kubanwa makende had yapasuke..hatuwez changamana na watu wa aina hii kwenye jamii yetu
 
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kusema tu kama ulivyosema ni rahisi kuwaaminisha wasiojua ukweli wa mambo ila pale tu unapoambiwa ukanushe ayasemayo kwa 'dalili' ndo hapo uharo unapobadilika kuwa ngumungumu ghafla!
 
Kuna kichaa mmoja alinifundisha kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Sasa unawalaumu kwa lipi wasema kweli? Mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Akili za Lissu ni times 100 zaidi ya huyo unayemshauri pamoja na watu wake wa Karibu. Pia lazima afahamu wazi kuwa sio kila mmoja aliye Karibu yake anafurahia matendo na maagizo.

Kama JK Alienda kumnusuru mwanae China akiwa na kundi dogo la wanausalama (about 4) lakini Siri zilivuja mpaka za kugawa gesi yetu, sembuse mipango haramu inayoratibiwa na Mr. Misifa DAB!!!!

Hapa Bosi ajitafakari upya. Hakuna Siri hapa Chini ya Jua. Ni vema amrudie Muumba wake kwa mwili na Roho. Asiende kimwili tu kuwafurahisha wazee wa kanisa ili wabaki kuwa upande wake. Kila mtu atalipwa kwa kadri ya matendo yake.
Kumbe kuna watu wanaamini ngonjera za kikwete kuuza gesi kisa madawa?
 
Kwa hiyo uko upande wa wauaji? Unataka siri ya mauaji itunzwe?

Pengine yeye mwenyewe ni muuaji na sasa amepata hofu kuwa labda Lissu analo jina lake! Siri za nchi zinazopaswa kutunzwa ni zile zenye tija kwa ustawi wa taifa; siyo watawala. Siri za kuua watu wanaokosoa utawala kamwe hazitunziki. Watu wabaya kwa taifà huwa hawauawi kwa siri bali wanafunguliwa mashtaka mahakamani.
 
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!

Labda huyo ni Bashite!
 
Si huwa Jiwe anasikiliza simu zao Vipi ,hajamjua mpaka mmekuja kulalamika mtandaoni ,au wavujisha siri wamewapiga Chenga ya mwili maana wao wana akili tena kuwashinda nyie malimbukeni wa mikurupuko .
 
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!
Ndiyomaana walitaka arudi wamrushe frog jump aseme yote.
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Kila goti litapigwa siku hiyo.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta hili bandiko kuwa makini maana kwa maelezo yako haya unataka kutuaminisha kuwa shambulio dhidi ya Tundu Lissu serikali ina mkono wake humo na sasa mnataka kumtafuta mvujisha siri tafadhali sana mkuu maana utakuwa kinyume na maelezo aliyotoa mbunge Dr Mollel
 
Back
Top Bottom