Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

Kuna uwezekano pia Lisu akawa hana source yeyote ile isipokuwa tu anataka kuhalalisha madai yake potofu. Yote yanawezekana.
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Hata walinzi wake hawampendi ila wanamchekea kinafiki
 
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa anakuongelea wewe, wala nisingehangaika kwani ningeamini ni usingizi. Ila mpangilio wa hoja zake na maswali ambayo hayajajibiwa ndivyo vinavyonifanya nihisi wewe umeleveka na dadi!
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.


Swali moja kwako ni: je wewe unafurahia na kupenda jambo baya alilofanyiwa Lissu??
 
Kwa hiyo lissu atapishwe siri zote anazozijua kuhusu muuaji?

Ndiyo sababu mkataka mfute dhamana yake ili akitia mguu tu nchini akamatwe mkamtapishe!? MUUAJI MKUBWA!

Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Wewe utakuwa ulishirikiana na bashite, kisanduku, musiba, lemutuz na jerry muro kwenye tukio LA kishamba
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
"Waziri huyo pia ni adui namba moja wa 'taifa' pamoja na wote wanao mpa siri Lisu"
Hii ni kauli ya Mtanzania?
Tanzania ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?
Au ni kauli ya Nduli ndani ya Nchi yetu?
Tangu lini Taifa likapanga ku-assassinate Wananchi wake?
Tangu lini matendo ya Nduli Iddi Amin Dada na Marcius Nguema yakawa ya kizalendo katika nchi yo yote duniani?
Tangu lini kulaani u-Iddi Amin Dada na u-Nguema ukawa usaliti ndani ya Taifa?
TumainiEI, whoever you are, SHAME ON YOU!!!
 
Back
Top Bottom