mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Kama kuna kichaa duniani leo ambaye anaweza kuitumbukiza dunia kwenye vita kuu ya tatu ni Rais na msanii wa kuchekesha Zelensky wa Ukraine.
Kila kukicha anazililia nchi wanachama wa NATO waweke zuio la ndege yoyote kuruka nchini Ukraine.
Hivi anaelewa matokeo yake? Kwa mawazo yake anadhani zuio hilo likiwekwa basi nchi yake itakuwa salama maana Urusi haitatumia tena ndege zake kuishambulia.
Hivyo ndivyo anavyodhani!! Lakini ukweli ni kuwa haitakuwa hivyo, Urusi haiwezi kuacha kurusha ndege zake, na itawalazimu NATO kuzishambulia!! Hapo ndipo Zelensky atakapojua nini maana ya nchi kuwa ni SUPER POWER
Kitakachotokea ni kwamba mashambulizi yataendelea kwa kutumia silaha kali zaidi na za maangamizi zaidi nchini kwake.
Watu watakufa zaidi, lakini pia huyo atakayethubutu kushambulia ndege za Urusi atajikuta anashambuliwa kwa silaha zinazofanana na ukorofi wake
Hapo Urusi haitakwepa kutumia silaha za nyuklia kwa nchi zote za NATO ikiwemo Marekani. Nato pia watalazimika kujibu m,apigo kwa silaha za nyuklia
Sijui ikifikia hapo huyu Zelensky wa Ukraine ataiambiaje dunia? Ndiyo maana piga ua, hakuna kichaa atakayethubutu kukubaliana na ombi la kichaa Zelensky
Hajui madhara ya anachokiomba kwa nchi yake na kwa dunia kwa ujumla.
Kila kukicha anazililia nchi wanachama wa NATO waweke zuio la ndege yoyote kuruka nchini Ukraine.
Hivi anaelewa matokeo yake? Kwa mawazo yake anadhani zuio hilo likiwekwa basi nchi yake itakuwa salama maana Urusi haitatumia tena ndege zake kuishambulia.
Hivyo ndivyo anavyodhani!! Lakini ukweli ni kuwa haitakuwa hivyo, Urusi haiwezi kuacha kurusha ndege zake, na itawalazimu NATO kuzishambulia!! Hapo ndipo Zelensky atakapojua nini maana ya nchi kuwa ni SUPER POWER
Kitakachotokea ni kwamba mashambulizi yataendelea kwa kutumia silaha kali zaidi na za maangamizi zaidi nchini kwake.
Watu watakufa zaidi, lakini pia huyo atakayethubutu kushambulia ndege za Urusi atajikuta anashambuliwa kwa silaha zinazofanana na ukorofi wake
Hapo Urusi haitakwepa kutumia silaha za nyuklia kwa nchi zote za NATO ikiwemo Marekani. Nato pia watalazimika kujibu m,apigo kwa silaha za nyuklia
Sijui ikifikia hapo huyu Zelensky wa Ukraine ataiambiaje dunia? Ndiyo maana piga ua, hakuna kichaa atakayethubutu kukubaliana na ombi la kichaa Zelensky
Hajui madhara ya anachokiomba kwa nchi yake na kwa dunia kwa ujumla.