SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Ni jamaa mmoja muhuni muhuni tu aliyeingizwa ikulu ya Ukraine na Mabeberu, hivyo don't be surprised kuona anayoyafanya maana anatimiza matakwa ya waliomuweka madarakani.
Sijui Anajikuta nani.Yaani ananikera. Aanze yeye kuandamana.