Tembelea America kajifunzekundapani please unaweza kutuma picha zaidi,sorry guys sio kuwa nimekuwa ignorance ila maisha ya wananchi yasimame hivyo reasons behind our no 1 he is in town?,mpaka karne hii haya mambo bado yapo?,nimeshuhudia misafara mingi tu ,including US president ila hayakuleta usumbufu mkubwa kwa raia,always vyombo vya usalama vinajitahidi mno kutoathiri mno,why wasimamishe line nzima kwani huwezi kupishana na msafara wa Rais?