Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,427
- 154,271
Raisi wetu anaacha kufanya mambo muhimu kwa uchumi wetu yeye yuko busy na kusaka wasanii wenzake ili apige nao picha.
Hii ni aibu kwa Taifa letu, yaani huko nje bila shaka wanatuona sisi ni mazuzumagic kabisa. Yaani kumchagua Kikwete kama kiongozi wa Taifa.
Taifa letu lina shida kubwa ya umeme, sukari na maji ya bomba. Badala yeye kutafuta suluhu ya matatizo hayo yeye yuko busy na kupiga picha.
Kwa mwenendo huu yeye ndio anaona anakamilisha ule msemo wake wa Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania
Hii ni aibu kwa Taifa letu, yaani huko nje bila shaka wanatuona sisi ni mazuzumagic kabisa. Yaani kumchagua Kikwete kama kiongozi wa Taifa.
Taifa letu lina shida kubwa ya umeme, sukari na maji ya bomba. Badala yeye kutafuta suluhu ya matatizo hayo yeye yuko busy na kupiga picha.
Kwa mwenendo huu yeye ndio anaona anakamilisha ule msemo wake wa Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania