Mkuu tusubiri 2019 labdaAmshauri atupandishe madaraja
Aisee yaani M7 na kelele zake zote hana hata ndege ya kusafiria. Aibu! Vipau mbele vyake ni kutawala daima.Kimya kimya n kenya airways
Wewe wasemaMseveni naye ni wa kumpapatikia?nchi hii imeshapoteza dira,wametafuta kiki ya kuzima isue ya makonda wamekosa wameona wamwalike mseven bingwa la kuua upinzani ili aje awafundishe,badala utoke ukaombe hela kwenye mataifa tajiri umekaa na tauro nyuma ya kibodi unasoma unavyopondwa jamiiforum.
Nchi iko ktk hali mbaya ya njaa na mfumuko wa bei unapanda kila siku leo hii maeneo ya tegeta kg moja ya unga ni sh.2200 na kg moja ya maharage ni sh.3100 unategemea baada ya miezi mitano bei itakuwaje?
Biashara zimedoda kila mahali harafu bila busara unatoka kifua mbele unajiona bonge la raisi haha ha ha.
Kila mtanzania sasa anajisikia kichefu chefu linapotajwa jina lako,waliobaki kukusapoti bi hawa nzi wa kijani wa lumumba mtandaoni kama unafikiri nakuongopea ingia maeneo yenye mkusanyiko na biashara nyingi mtume mtu akusifie uone jinsi matokeo yatakavyokujia.
Lakini pia mimi sipendi kukulaumu sana maana wa kulaumiwa ni Jakaya kikwete sababu hata kama alichukia lowasa kuingia upinzani basi alitakiwa kutuletea hata mtu ndani ya ccm mwenye uwezo na anayeijua nchi na wananchi wanataka nini na sio kutuletea ubabe ambao hauna kichwa wala miguu,kama mbabe amuru bei za vyakula zishuke tukuone wewe ni mbabe.
Ifike mahali uachie uraisi kama unaona unashindwa maana muda si mrefu tutakuwa kama zimbabwe.
Museveni anayo ndege ya kutembeleaAisee yaani M7 na kelele zake zote hana hata ndege ya kusafiria. Aibu! Vipau mbele vyake ni kutawala daima.
Mbovu hiyo kila siku Uganda ndio wakodishaji wakubwa wa ndege yetuMuseveni anayo ndege ya kutembelea
Tena ni long distance private jet
Konatofauti ya an idiot and who made an idiot.......umenisoma?angeendeleza zile dharau zake za kumtuma majaliwa ingependeza sana au kwa kuwa huyu hata kisukuma anakigonga vizuri kaamua akampokee mwenyewe?
Ni chuki tu mtindo mmoja,mtakufa kwa kihoro buure. Wala haiwasaidii,jamaa anachanja mbuga.Hao ndiyo marafiki zake, huwa hana marafiki wa maana
ni nataka hapo kwenye who made hapo ebu endelea mbele kidogo.Konatofauti ya an idiot and who made an idiot.......umenisoma?
mimi naomba kutoa nilicho jifunza kutokana na mseveni kuja Tanzania kwa kutumia ndege ya Kenya airwaysMmmm!!! sasa si tunazo mbili pale terminal 1 wangemuazima moja!
mimi naomba kutoa nilicho jifunza kutokana na mseveni kuja Tanzania kwa kutumia ndege ya Kenya airways
1. kwanza siamini kuwa Rais Mseveni hana ndege ya rais
2. ninacho jua ametumia usafili huu ili kubana matumizi yasiyo na lazima hope katika shirika la ndege amekata ticketi kama abiria wengine isipokuwa ya kwake na ujumbe wake wake wakawa First class
3. Kutembeza Jet ni gharama kubwa kuliko kuchukua usafili wa kawaida naomba na serikali yetu iige huu mfano kuliko kuweka sifa wakati kodi yetu ikitumika bila mipangilio
hebu wadau tujadili na hili
Good to know. Naona hiyo ya kusafiria USA, Australia, Canada, Japan etc. Shopping nini hizo?Museveni anayo ndege ya kutembelea
Tena ni long distance private jet