Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Zaidi ya polisi mia leo walimshikilia kwa muda rais wetu wa moyoni Dr Slaa katika kituo cha polisi kahama.Polisi wanadai eti Rais wetu slaa alifanya mkutano bila kibali,baada ya kutoa maelezo aliachiwa na sasa yupo njian kueleke Kagera...
my take...Polisi hawana mamlaka kisheria kutoa kibali cha mkutano,sijui ni kwa muda gani polisi wetu wataendelea kufanya kazi ya ccm,wajifunze alama za nyakati Gadafi pamoja na silahazote nguvu ya umma inamgoa sembuse hawa polisi wa tz ambao wamepigika kama sisi?NENO LA BUSARA WE ARE NOT FIGHTING FOR OURSELVES,OR FOR POWER,OR MONEY,,,WE ARE HERE FOR THE CAUSE OF FREEDOM,WELFARE OF OUR PEOPLE AND OUR CHILDREN,WE ARE WILLING TO PAY ANY PRICE INCLUDING OUR OWN BLOOD.IT IS VICTOR OR DEATH.....
my take...Polisi hawana mamlaka kisheria kutoa kibali cha mkutano,sijui ni kwa muda gani polisi wetu wataendelea kufanya kazi ya ccm,wajifunze alama za nyakati Gadafi pamoja na silahazote nguvu ya umma inamgoa sembuse hawa polisi wa tz ambao wamepigika kama sisi?NENO LA BUSARA WE ARE NOT FIGHTING FOR OURSELVES,OR FOR POWER,OR MONEY,,,WE ARE HERE FOR THE CAUSE OF FREEDOM,WELFARE OF OUR PEOPLE AND OUR CHILDREN,WE ARE WILLING TO PAY ANY PRICE INCLUDING OUR OWN BLOOD.IT IS VICTOR OR DEATH.....