Rais wetu si ajifunze kwa wenzake??

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
Rais wa Marekani aliamua kukaa na hivi vichwa kubadilishana mawazo.....hivi huyu wa Kwetu yeye hapatagi muda wa kukaa na wataalam??.....ila muda wa kukaa na kina Sheikh Yahaya.....na Maimuna anao....


Obama with Tech Giant.png

obama.jpg

The executives who attended the dinner were:

  • Carol Bartz, President and CEO of Yahoo!
  • John Chambers, CEO and Chairman of Cisco Systems
  • Dick Costolo, CEO of Twitter
  • Larry Ellison, CEO of Oracle
  • Reed Hastings, CEO of Netflix
  • John Hennessy, President of Stanford University
  • Art Levinson, Chairman and former CEO of Genentech
  • Steve Jobs, CEO of Apple
  • Eric Schmidt, Chairman of Google
  • Steve Westly, Managing Partner and Founder of The Westly Group
  • Mark Zuckerberg, President and CEO of Facebook
 
vichwa kama hivi vipo vingi tanzania lakini vichwa vya kuviweka pamoja havipo,
 
Hana muda, amebanwa na shughuli za kitaifa na kimataifa.
 
J k Ataongea nini mbele ya watu wenye elimu + fedha zao kama hao . Labda akae na wajumbe wa nyumba 10 na madiwani.
 
Back
Top Bottom