Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,620
- 20,954
Rais wetu mpendwa Mama Samia ikikupendeza tunakuomba sisi wananchi wako wanyonge uturudishie mnyonge mwenzetu Mh. Lukuvi, alipamudu alipanyoosha nidhamu ilikuwepo haki ilikiwepo heshima ilikiwepo uwajibikaji ulikuwepo usikivu ulikuwepo.
Aidha kama hili litakushinda tuwekee dawati hapohapo wizarani Dodoma na Dar es Salaam, maalum ambalo wananchi wataweza kutoa vinagaubaga vyao kwa dawati hilo ambalo litakuwa linamfikishia waziri aliyepo kipi kinafanyika hapo hivyo naye kusaidia kutoa maamuzi ya haraka.
WASALAAM.
N. B, NAPENDA KUTOA SHUKRANI KWA DR. ANGELINA MABULA HIS DOCTORATE HAS DONE SOMETHING EXCEPTIONAL, THANKS YOU MADAM.
KUMBE UNATUSIKIA, UBARIKIWE.
Aidha kama hili litakushinda tuwekee dawati hapohapo wizarani Dodoma na Dar es Salaam, maalum ambalo wananchi wataweza kutoa vinagaubaga vyao kwa dawati hilo ambalo litakuwa linamfikishia waziri aliyepo kipi kinafanyika hapo hivyo naye kusaidia kutoa maamuzi ya haraka.
WASALAAM.
N. B, NAPENDA KUTOA SHUKRANI KWA DR. ANGELINA MABULA HIS DOCTORATE HAS DONE SOMETHING EXCEPTIONAL, THANKS YOU MADAM.
KUMBE UNATUSIKIA, UBARIKIWE.