Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Yule acha kabisa, mkimya maneno machache....nsimamo MKALI!Au yule Makel (kama sijakosea) wa Ujerumani
Kuna msemo flani huko kanda ya ziwa kuwa .."@$$# huwa zinapatikana karanga tu na sio wanawake wa kuoa" nami namalizia kuwa Pwani zote kuanzia Miami, Acapuco, Mombasa, nk, wanatoka viongozi na sio Uongozi!