Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,393
Au yule Makel (kama sijakosea) wa UjerumaniMimi naona apate ziara moja aende Ughaibuni (official visit) akapigiwe mizinga 21 na heshima zote ili aongeze kujiamini na ajue kabisa ndani ya dunia hii yeye siyo wa Rais kwanza mwanamke.
Kina Queen Elizabeth wametawala dunia miaka na miaka. Majukumu mazito kuliko aliyonayo.