East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Kama nilivyoshauri miezi michache nyuma.
Nashauri majimbo yapunguzwe maana ni mengi mmo ambao jumla ni Wabunge 394.
Na wakati tuna Halmashauri takribani 186 bara na wilaya 11 Unguja na Pemba.
Hivyo Bara majimbo 186
Zanzibar 11 na viti maalamu angalau 64 jumla tutakuwa na wabunge 211 hivi.
Hili suala kwa sasa linaweza kufanywa na NEC kama Serikali itaridhia.
Haihitaji uamuzi wa Bunge.
Ushauri Tu jamani.
Nashauri majimbo yapunguzwe maana ni mengi mmo ambao jumla ni Wabunge 394.
Na wakati tuna Halmashauri takribani 186 bara na wilaya 11 Unguja na Pemba.
Hivyo Bara majimbo 186
Zanzibar 11 na viti maalamu angalau 64 jumla tutakuwa na wabunge 211 hivi.
Hili suala kwa sasa linaweza kufanywa na NEC kama Serikali itaridhia.
Haihitaji uamuzi wa Bunge.
Ushauri Tu jamani.