Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Wadau nimekaa na kupitia trends nyingi zinazoitia sintofaham taswira ya rais wetu nimegundua kwamba akikaa kimya anapendwa zaidi akiongea anatibua naomba wanaompangia ratiba ya matukio ya public waliangalie hili
Japo naelewa hawezi kukwepa matukio ya kipublic!!
Japo naelewa hawezi kukwepa matukio ya kipublic!!