Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,611
- 20,936
Nionavyo lengo na dhamira kuu la SSH, ni kuurudisha mzunguko wa kifedha kwa haraka ili hatimaye kila mtu aweze kushiriki vyema katika kujiletea maendeleo yake, taasisi kama Pride ilisaidia sana wakinamama na wafanyabiashara ngazi ya chini katika kujiinua, kwani structure yao ya ukopeshaji na ukusanyaji madeni waliimudu kwa 100%,kitu ambacho hata baadhi ya mabenki kinawashinda.
Nashauri mfumo wa pride na utendaji wake uchukuliwe na NMB ikibidi baadhi ya wataalamu wa pride wachukuliwe ili chombo kingine kidigo kiundwe kitakacho tapakaa kila mahali Tanzania nzima ili kiweze kuwainua upya wafanya biashara ambao wengi walianguka,simaanishi nmb pekee benki yoyote yenye uwezo inaweza kuoganize suala,alimradi tu tutengeneze mzunguko wa kifedha kwa Tanzania yetu, hasa kwa wanyonge,Leo mnyonge kunywa BIA moja inakuwa tabu kweli,sasa tbl atapataje faida.
Nashauri mfumo wa pride na utendaji wake uchukuliwe na NMB ikibidi baadhi ya wataalamu wa pride wachukuliwe ili chombo kingine kidigo kiundwe kitakacho tapakaa kila mahali Tanzania nzima ili kiweze kuwainua upya wafanya biashara ambao wengi walianguka,simaanishi nmb pekee benki yoyote yenye uwezo inaweza kuoganize suala,alimradi tu tutengeneze mzunguko wa kifedha kwa Tanzania yetu, hasa kwa wanyonge,Leo mnyonge kunywa BIA moja inakuwa tabu kweli,sasa tbl atapataje faida.