AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Nashukuru AmaniKatoshi,
Kifupi, JK hana nguvu ya kupiganga na uozo huu kwa sababu uozo huu ndio uliomuweka madarakani.
Nimekusikia mkuu...na ndio maana inakuwa anajiangusha mwenyewe!
Shule hii iliyopo morogoro, along the highway to Mikumi ni mfano wa jinsi JK na CCM wamefanikiwa kutekeleza manifesto yao ya UCHAGUZI wa 2005!