Rais alisema watu wenye vyeti feki ni sawa na majambazi wanaiibia serikali.
Kwanza wamefoji vyeti, pili wamezuia ajira kwa wenye vyeti halali, tatu wameiba fedha zetu wananchi(kodi)
Ulijipambanua kutumbua majipu na wezi wa Mali ya umma.
Umewapa msamaha majambazi wa fedha zetu waondoke ifikapo 15/5 iweje uwalipe mafao wezi.
Haiwezekani, haiwezekani, haiwezakani.
Rais zuia fedha zetu[/cilor] kulipa wezi na majambazi.
Tunakekera tena sana.
Waziri aliyesema anawaandalia mafao mtumbue mapema akapumzike.
Huyo mwenyecheti feki ndiye aliye kufundisha nasasa hivi we we ni daktari halafu unaleta ufukunyuku! Mimi mwalimu wangu ameondolewa lakini ndiye aliyenisaidia sasa hivi Nina phd lakini alinisaidia sana secondary
Unapoambiwa lete vyeti vyako halali ukileta feki ujue unafanya makosa. Haijalishi itachukua mud a gani ila utakapogundulika lazima ulipe gharama.
Kweli, wanastahili kupewa stahiki za jasho lao. Kuna waliokuwa wamebakiza muda mchache kustafu wapewe tu.Huyu hajielewi kabisa tena hawa waliofoji ndo wenye uwezo kuzidi wenye vyeti halali..
Hta km ni wezi c walikua wanatumikia taifa lao, mfano walimu c ndo hao walio kufundisha ww ukapata cheti original, dactari c ndo alokutibu ww ukaeza kupata nguvu na km kwa miaka yote walkua wanatmikia Taifa n kwa nn wacpewe mafao? RUDI KAFIKIRIE TENA NDIPO UJE TNARais alisema watu wenye vyeti feki ni sawa na majambazi wanaiibia serikali.
Kwanza wamefoji vyeti, pili wamezuia ajira kwa wenye vyeti halali, tatu wameiba fedha zetu wananchi(kodi)
Ulijipambanua kutumbua majipu na wezi wa Mali ya umma.
Umewapa msamaha majambazi wa fedha zetu waondoke ifikapo 15/5 iweje uwalipe mafao wezi.
Haiwezekani, haiwezekani, haiwezakani.
Rais zuia fedha zetu kulipa wezi na majambazi.
Tunakekera tena sana.
Waziri aliyesema anawaandalia mafao mtumbue mapema akapumzike.
Ipo hivi? Kwanza mtoa mada yaweza kuwa na umri under 30. Haelewi mambo mengi ya huko nyuma.Muuleweni mtoa mada,anasema huko nyuma hawakuonekana kama watumikia umma bali walikuwa wezi,wakiuibia umma kwa maana ya kuchukua mshahara wasio sitahili kwa sababu wana vyeti feki,sasa huo utumishi wao umeanza lini? Na kama tunakiri ni watumishi halali wanaostahili malipo halali why waondolewe kazini?
After all cheti cha form four kina tija gani?mkuu wakilipwa ni kosa.
km yupo kiongozi hakuwatambua ashitakiwe.
mbn waliojenga lembeni ya reli miaka mingi ilopita hawajalipwa cos reli ilishapima wao wakaamua,miaka mingi reli hawakua Na hela sasa wamept hela mbn wanabomoa bila fidia cos waliovamia HT km imepita 30yrs.
wao walipaswa kushtakiwa Na viongozi wote walioruhusu kuendelea kuiba
Wewe MTOTO wa jana Tu huijui hii NGOMA....tuma application upate KAZI...Rais alisema watu wenye vyeti feki ni sawa na majambazi wanaiibia serikali.
Kwanza wamefoji vyeti, pili wamezuia ajira kwa wenye vyeti halali, tatu wameiba fedha zetu wananchi(kodi)
Ulijipambanua kutumbua majipu na wezi wa Mali ya umma.
Umewapa msamaha majambazi wa fedha zetu waondoke ifikapo 15/5 iweje uwalipe mafao wezi.
Haiwezekani, haiwezekani, haiwezakani.
Rais zuia fedha zetu kulipa wezi na majambazi.
Tunakekera tena sana.
Waziri aliyesema anawaandalia mafao mtumbue mapema akapumzike.
si alikuwa anafanya kazi, ww nafikiri hao wenye vyeti feki wasingekuwepo watu wote wangepata ajira ?kuna watu wamekosa ajira kwavmda mrefu ilihali MTU kaiba cheti kajipachika.
wewe unaona jambazi ni Yule anaekuibia simu au hela zako tu