Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 759
Sijui kwanini mnafanyaga mambo bila kufikiria, sijui mnatuonaga wajinga au mazwazwa! Kuna mfuko wa maafa uliyo chini ya ofisi ya waziri mkuu na kila Bunge la bajeti mfuko huu utengewa fedha mnazipelekaga wapi?
Maana tangu mh. Rais uingie madarakani huu mfuko hamjawahi kutoa fedha kusaidia wahanga, Si Bukoba, Arusha na sasa Ukerewe!
Sasa hivi mmefungua account ya maafa kwa ajili ya ajali ya huko ukerewe na pole mnayotoa ni laki tano hivi zitakazobaki mnapelekaga wapi.
Maana tangu mh. Rais uingie madarakani huu mfuko hamjawahi kutoa fedha kusaidia wahanga, Si Bukoba, Arusha na sasa Ukerewe!
Sasa hivi mmefungua account ya maafa kwa ajili ya ajali ya huko ukerewe na pole mnayotoa ni laki tano hivi zitakazobaki mnapelekaga wapi.