Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.