Rais wangu, wananchi wako hatujakutuma kwenda kufanya kazi hizi!

Wild fauna

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
461
189
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.
 
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.

Kukitokea msiba atakuja. Ombeni Mtu afe huko wa kueleweka
 
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.
Si utapata vyandarua na ahadi kedekede JK akirudi?
Baba kaenda kuomba kwa sijui nani zake wale maana hata sielewi hasa uhusiano wao maana kila siku anapewa yeye tu sijui huwa anatoa nini kurudisha fadhila?
Usijali akirudi utapata jibu ya nini alienda kufanya,kwa sababu zipi zilimfanya aende hata baada ya kumtuma Membe kumuwakilisha huko huko Amerika kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa.
 
Jamaa ana kipaji kutoka moyoni, kipaji cha MATONYA.
Hapa Matonya akiwa amepeleka bakuli lake ughaibuni ili Watanzania wasife njaa.
MATONYA%2520PIX%2520NO%25201%2520%25281%2529%5B1%5D.JPG


Eti asiposafiri tutakufa njaa, hivi njaa inaondolewa kwa kufanya kazi kwa bidii au kwa kuombaomba na kugawa ardhi yetu kwa wageni?
 
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.

:biggrin1: sidhani kama mkuu wetu hata anajua kuna sehemu nchi hii zina hayo majina
 
Hiyo ni laana ya kula miguu ya kuku. Yeye ni kiguu na njia milele.

Siyo laana mkuu. Hajui afanye nini hapa nyumbani. Kuna siku alisema akiwa London, na ninamnukuu....."Wanasema ninasafiri safiri sana. Kah! sasa wanataka nikae nao tu, tule nao mihogo?" ....Mwisho wa kumnukuu
 
Mlikula ubwabwa,mkavaa kofia,khanga na vilemba akinamama wakafunga vichwani na vilikuwa vimeandikwa CHAGUA KIKWETE CHAGUA CCM,MAISHA BORA KWA KILA MTANZaNIA.
Sasa ratiba ya safari bado haijakamilika mnaanza kulia
 
Mlikula ubwabwa,mkavaa kofia,khanga na vilemba akinamama wakafunga vichwani na vilikuwa vimeandikwa CHAGUA KIKWETE CHAGUA CCM,MAISHA BORA KWA KILA MTANZaNIA.
Sasa ratiba ya safari bado haijakamilika mnaanza kulia


Umenichengua kwa kejeli yako..Lakini ukweli mgumu...Nikiona shabiki au mwana ccm anapigika simhurumii aliyataka mwenyewe.. Naam JK awezi kukaa na watz ale nao mihongo bana.. watajiju
 
Siyo laana mkuu. Hajui afanye nini hapa nyumbani. Kuna siku alisema akiwa London, na ninamnukuu....."Wanasema ninasafiri safiri sana. Kah! sasa wanataka nikae nao tu, tule nao mihogo?" ....Mwisho wa kumnukuu

Nimeipenda hii. Karibu kahawa mkuu

coffee-cup.jpg
 
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.

Mbona unaongea yale yale unayoyapinga, kama balozi anaweza kumwakilisha Rais nchi za nje, huko Matongo Nanguruwe na kwingineko lazima aje Rais kweli, hakuna watendaji wengine? Hivi unategemea kweli Rais aje awambie wananchi wa Matombo kuwa ni kosa la jinai kutoheshimu mamlaka zilizoko kisheria? Mkuu, fanya kazi kwa bidii, Rais siyo kichaa mpaka afanye ziara ambazo hazina tija kwa taifa. Tusisikilize propaganda za wanasiasa hazitufikishi popote kwani nao lengo ni hilo hilo la kuingia ikulu ili waweze kufaidi hizo safari ambazo kimsingi hakuna Rais ambaye hatazifanya kwa maslahi ya Taifa.
 
Hiyo ni laana ya kula miguu ya kuku. Yeye ni kiguu na njia milele.
Siyo kwamba umekosa cha kuchangia hadi unaanza kutukana bali ni mada yenyewe ambayo imekaa kipropadanga na ambayo imezoeleka machoni, vichwani na mioyoni wa watu wasioitakia mema tanzania hii. Rais siyo balozi wa nyumba kumi asisafiri. Hivi kama ili mtu kuwa kiongozi wa Chama cha siasa tu unamsikia mara Houston, mara Ujerumani , mara Ufaransa, itashindikanaje kwa rais wa nchi?
 
Kukitokea msiba atakuja. Ombeni Mtu afe huko wa kueleweka

Labda awe msanii wa bongo movie au bongo fleva! Polisi wake aliowatuma kuua wakiua anakauka kimyaaa!!! Anajua akienda hatapata nafasi ya kupiga siasa msibani!
 
Si utapata vyandarua na ahadi kedekede JK akirudi?
Baba kaenda kuomba kwa sijui nani zake wale maana hata sielewi hasa uhusiano wao maana kila siku anapewa yeye tu sijui huwa anatoa nini kurudisha fadhila?
Usijali akirudi utapata jibu ya nini alienda kufanya,kwa sababu zipi zilimfanya aende hata baada ya kumtuma Membe kumuwakilisha huko huko Amerika kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa.

Kweli hili jukwaa limekuwa la kutaniana tu na siyo la kujadili mambo yenye maslahi ya taifa. eti baba kaenda kuomba teh teh. JK mtu wa kazi bwana hizi sasa zimeshuka hadhi zaidi siyo propaganda tena bali kufa kwa akili. Punguzeni kula mayai ya kuku wa kisasa jamani mtajikuta mnachezea makopo na watoto wenu.
 
Rais huyu akiwa tz basi ni kwa ajili ya shuhuli za ukada wa chama.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom