BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Kuna wana CCM ukiwasikiliza kuhusu huu uchaguzi, unaweza ukadhani akili zao zina matatizo. Nikiwa kama mwana CCM huru na kwa namna nilivowaona wajumbe wa CCM kwa kweli mwaka huu si wakubeza.
Kuna watu wanafiki sana wapo ndani ya CCM na wanawaangalia tu vingozi wa juu ,lakini mioyo yao imeshakinai namna mambo yanavyokwenda.
Narudia tena uchaguzi huu si lelemama.
Mwenye masikio na asikie.
Kuna watu wanafiki sana wapo ndani ya CCM na wanawaangalia tu vingozi wa juu ,lakini mioyo yao imeshakinai namna mambo yanavyokwenda.
Narudia tena uchaguzi huu si lelemama.
Mwenye masikio na asikie.