muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,113
- 4,793
Kama kweli unahitaji kuendelea kutetea kiti chako, Watanzania wanayohaki ya kufafanuliwa juu ya ahadi zako za mwaka 2015,
1. Mheshimiwa uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako hakuna mfanyakazi ataedhulumika, utawalipa malupulupu yao, nyongeza ya mishahara, kupandishwa madaraja na kuongeza kima cha mshahara lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
2.Uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako vijana watapata ajira na utawawezesha kujiajiri lakini mpaka sasa mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
3. Uliuahidi umma wa Watanzania milioni hamsini kila kijiji kwaajiri ya vikindi vidogovidogo lakini mpaka sasa mambo yameenda ndivyo sivyo.
4. Uliuahidi umma wa Watanzania kuibadilisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda lakini mpaka sasa umebaki ni wimbo tu, na baadhi ya viwanda vilivyofunguliwa ni vile vilivyo exist tangu zamani.
5. Uliuahidi umma wa Watanzania utaanzisha mahakama ya mafisadi lakini mpaka leo imekua ndivyo sivyo hata wale tuliokia tunaamini ni ni mafisadi papa bado wako uraiani wanakula bata, vile vile hata CAG alipozua ishu ya till1.5 kilichomtokea kila mtu anakijia
6. Uliuahidi umma wa Watanzania kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu watapata mikopo asilimia zote na hakutakua na uzungushaji lakini matokeo yake kila mtu alishuhudia mpaka wenye vigezo walinyimwa kwa kisingizio wamesomea ahule za private.
7. Uliuahidi umma wa Watanzania utazingatia utawala bora kwa kifuata misingi ya katiba na sheria za nchi lakini kila mtu amejionea mambo yalivyokua ndivyo sivyo, kuna wakati katiba inakanyagwa kabisa hadharani na hakuna wa kuhoji.
Mheshimiwa wangu hayo ni machache tu miongoni mwa mengi, andaa majibu ya hayo utakapokuja kwenye kampeni utufafanulie kwanza jinsi ulivyotimiza hizo ahadi zako.
1. Mheshimiwa uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako hakuna mfanyakazi ataedhulumika, utawalipa malupulupu yao, nyongeza ya mishahara, kupandishwa madaraja na kuongeza kima cha mshahara lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
2.Uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako vijana watapata ajira na utawawezesha kujiajiri lakini mpaka sasa mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
3. Uliuahidi umma wa Watanzania milioni hamsini kila kijiji kwaajiri ya vikindi vidogovidogo lakini mpaka sasa mambo yameenda ndivyo sivyo.
4. Uliuahidi umma wa Watanzania kuibadilisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda lakini mpaka sasa umebaki ni wimbo tu, na baadhi ya viwanda vilivyofunguliwa ni vile vilivyo exist tangu zamani.
5. Uliuahidi umma wa Watanzania utaanzisha mahakama ya mafisadi lakini mpaka leo imekua ndivyo sivyo hata wale tuliokia tunaamini ni ni mafisadi papa bado wako uraiani wanakula bata, vile vile hata CAG alipozua ishu ya till1.5 kilichomtokea kila mtu anakijia
6. Uliuahidi umma wa Watanzania kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu watapata mikopo asilimia zote na hakutakua na uzungushaji lakini matokeo yake kila mtu alishuhudia mpaka wenye vigezo walinyimwa kwa kisingizio wamesomea ahule za private.
7. Uliuahidi umma wa Watanzania utazingatia utawala bora kwa kifuata misingi ya katiba na sheria za nchi lakini kila mtu amejionea mambo yalivyokua ndivyo sivyo, kuna wakati katiba inakanyagwa kabisa hadharani na hakuna wa kuhoji.
Mheshimiwa wangu hayo ni machache tu miongoni mwa mengi, andaa majibu ya hayo utakapokuja kwenye kampeni utufafanulie kwanza jinsi ulivyotimiza hizo ahadi zako.