Sote hatumtaki
Mkuu ungesema wewe binafsi unatamani asirudi tena madarakani kwakua hajafanya hivi au vile, lakini huna uwezo wala uhalali wa kumpa Rais ultimatum yoyote
Na kwenye sanduku la kura kwa bahati(utachagua mwenyewe kama ni nzuri au mbaya) wanaochagua ni karibia milioni ishirini. Je? umeingia mawazoni mwao wote hao?!!!