Rais wangu Samia zuia wafanyakazi wa NCBA kupunguzwa, Uhuru Kenyatta kakudanganya

Uwenda aliweka wafanyakazi wengi kwa kuwa wote hawaamini, ila mmoja anatosha anaemwamini, sasa asiwafukuze?
 
Sasa hizo benki Samia anazimiliki?..

Kupunguzwa ni ishu ya kawaida..ishu ingekuwa wanaondolewa wabongo na kuletwa wakenya hapo ungekuwa na hoja
 
Huna adabu kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania..kama una akili utaelewa umekosea wapi kwenye post hii
Mkuu Gracious , humu JF, akili hazifanani, unapokutana na member asiye na adabu kama Wakudadavuwa, saidia kumuelewesha amekosa wapi adabu, kwasababu nina mashaka na kiwango chake cha uelewa, hizo akili za kujua amekosea wapi sidhani kama anazo, hivyo ukiona kosa, saidia, mfano mimi, nilipoona tuu anamuita rais Samia, ndugu yangu, nikamrekebisha kuwa Samia, hata kama ni ndugu yake, baada ya kuwa ndiye rais wa JMT, kila akitajwa lazima awe addressed as Rais Samia na Ndugu yangu Samia!.
Watu kama hawa kina Wakudadavuwa ni watu wa kusaidiwa.
P
 
Sasa hizo benki Samia anazimiliki?..

Kupunguzwa ni ishu ya kawaida..ishu ingekuwa wanaondolewa wabongo na kuletwa wakenya hapo ungekuwa na hoja
Kwanza kampuni mbili zikiungana suala la kupunguza baadhi ya man power haliepukiki.
 
Ndugu yangu Samia,

Ninajua umezongwa na vimemo,

Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.

Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu.Cha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia CBA imeungana na NIC kuwa benki kubwa.

Kabla hili halijawa kubwa naomba ulishighulikie,nchi yetu inataka ajira sio kupunguza wafanyakazi.
Tafuta hela na wewe uwekeze kama alivyofanya Kenyatta,msipende kulialia,lazima tufuate kile wawekezaji wanachotaka mamaye🤣🤣🤣🤣
 
Ziara ya Rais Kenya na hili jambo la CBA kupunguza wafanyakazi kuna mahusiano gani ?? Halafu usiogope kupunguzwa kazini Sisi kipindi cha Mwendazake tushapunguzwa sana mpaka tushazoea na pesa zetu NSSF alizigomea.

Pambana mkuu usilie sana.
Huyu Jamaa sijui anewaza nini, enzi ya shujaa wetu kampuni binafsi zilipunguza sana wafanyakazi, nyingine kufunga biashara na nyingine kufungiwa na serikali mfano Billcanas..! Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mbona haya hakuyaongea enzi ya Magufuli. Atulize mshono tu, Mama wa watu afanye kazi, tuna mahakama ya usuruhishi mambo ya kazi kama kuna mfanyakazi hajaridhika aende tu mahakani, wengi tumepitia huko kwa ushauri kipindi hicho wewe ukiwa praise team
 
Hata serekali yenywew ipo njiani kupunguza wafanyakazi wake hasa kwenye mashirika ya umma

Mnakumbuka miaka ile 1997 mkapa alipo wala watu redandance pale NBC,NIC etc
 
Mkuu Gracious , humu JF, akili hazifanani, unapokutana na member asiye na adabu kama Wakudadavuwa, saidia kumuelewesha amekosa wapi adabu, kwasababu nina mashaka na kiwango chake cha uelewa, hizo akili za kujua amekosea wapi sidhani kama anazo, hivyo ukiona kosa, saidia, mfano mimi, nilipoona tuu anamuita rais Samia, ndugu yangu, nikamrekebisha kuwa Samia, hata kama ni ndugu yake, baada ya kuwa ndiye rais wa JMT, kila akitajwa lazima awe addressed as Rais Samia na Ndugu yangu Samia!.
Watu kama hawa kina Wakudadavuwa ni watu wa kusaidiwa.
P
Sawa kabisa mkuu Pascal Mayalla nimekuelewa vyema sana.
Ukiacha hilo la kumuita Mh Rais "Ndugu Samia" lakini pia issue ya vimemo...huyu ndugu anataka kutuonesha anaijua sana meza ya ofisi ya Rais wa jamhuri na kwamba yuko busy na vimemo.

This is insultive kwa Rais wetu
 
Ndugu yangu Samia,

Ninajua umezongwa na vimemo,

Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.

Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu. ha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia CBA imeungana na NIC kuwa benki kubwa.

Kabla hili halijawa kubwa naomba ulishighulikie,nchi yetu inataka ajira sio kupunguza wafanyakazi.
Kafungue kesi CMA achwa udwanzi wa kumsumbua mama
 
Hiyo benki binafsi ina mahusiano gani na serikali tena taasisi nyeti ya Urais, hadi yeye Mhm aingilie kati??
Inashangaza SANA, yapo makampuni mengi yalifungwa kabisa, migodi na benki zingine kufilisika, lakini sijawahi kusikia Raisi anasema zisifungwe kwa sababu watanzania watakosa kazi.

Pole SANA kwa kukosa kazi, jiajiri tu 😂

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Utakuwa mtu wa kwanza huelewi kwenye mergers and acquisitions lazima redundancies ziwepo. Maana lzm hali ngumu ya biashara ndo hufanya biashara kuungana na duplication of roles huwepo. Hii lazima itapelekea retrenchment.
 
Mkuu Gracious , humu JF, akili hazifanani, unapokutana na member asiye na adabu kama Wakudadavuwa, saidia kumuelewesha amekosa wapi adabu, kwasababu nina mashaka na kiwango chake cha uelewa, hizo akili za kujua amekosea wapi sidhani kama anazo, hivyo ukiona kosa, saidia, mfano mimi, nilipoona tuu anamuita rais Samia, ndugu yangu, nikamrekebisha kuwa Samia, hata kama ni ndugu yake, baada ya kuwa ndiye rais wa JMT, kila akitajwa lazima awe addressed as Rais Samia na Ndugu yangu Samia!.
Watu kama hawa kina Wakudadavuwa ni watu wa kusaidiwa.
P
Heshima hiyo hadi kwa Mwendazake au kwa Samia tu?
 
Ndugu yangu Samia,

Ninajua umezongwa na vimemo,

Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.

Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu. ha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia CBA imeungana na NIC kuwa benki kubwa.

Kabla hili halijawa kubwa naomba ulishighulikie,nchi yetu inataka ajira sio kupunguza wafanyakazi.
Vijana wa Lumumba vinafiki vibinafsi,wenzao wakilia vinashangilia yamekuja kwao vimeanza kutoa shuzi.Hivi kuna kipindi watu wamepoteza kazi na maisha kama enzi za jiwe na wew ulikua unashangilia?Wangapi walipoteza kazi kwa sbb ya ukatili wa jiwe?
 
Mkuu Wakudadavuwa , kwanza Samia sio ndugu yako, na hata akiwa ni ndugu yako toka nitoke, when you address her in public, ni Rais Samia!

Pili you are letting me down, hujui tofauti ya public entities na private sector, hujui kuwa PPR ikiamua kupunguza wafanyakazi, Rais Samia hawezi kufanya lolote?. Unataka rais Samia aingilie uendeshaji wa private sector?. No please its not you.

Tatu, japo corona imechangia kwa kiasi kikubwa huu mdororo wa uchumi, private sector inaendeshwa kwa profit margin baada ya ku break even kwa the capital injected. Kama umeingiza pesa na huo faida, you just can't operate on loses throught, unless kama Mama Samia ataiamuru BOT kutoa stimulus package kwa mabenki ili kufidia operational costs. Kiukweli yule Kaka yako, japo ametufanyia makubwa, lakini pia ametuharibia sana private sector yetu.


P
Kaka wa Taifa umeongea umemaliza!
 
Unamaanisha wanakuja Wakenya kufanyakazi ambazo ulikuwa unafanya?

FUNGUKA acha kujiuma uma, Mama yuko kusikiliza.
Hakuna mkenya bank inapunguza wafanyakazi baada kuungana wamekuwa wengi kazi zile zile nafasi chache....hapo hakuna namna wala mahusiano ....jipange tu uvute chako ukajiajiri ....toa mentality kuwa lazima uajiriwe...maisha yapo tu kamata mpubga njoo kitaa fursa tele wewe tu.....June hii shika 25m ukilipwa nenda ifakara nunua mpunga weka store pumzika Oct utauza double umekuza mtaji ......nunua bajaj 3....pikipiki 2 utakula hadi June nect year......chukua 25m zako Ifakara .....on your way akili itakuja utaongeza vingine acha mawazo mgando....
 
Approach anayotaka Mama atumie ni ile iliyotumiwa na ATC miaka nenda miaka rudi. Watu hawana ndege lakini bado wanalipa wahudumu wa ndege na marubani!! Benki zikiungana sio kwamba idadi ya wafanyakazi yaendelea kubaki vile vile. Kupunguza gharama za uendeshaji huwa ni sababu moja wapo ya kuungana. Gharama za uendeshaji ni pamoja na wafanyakazi. Hata huko NIC wataondoka pia.

Nadhani mleta mada ajikite kwenye maslahi ya kimkataba ya kuachishwa kazi na sheria za kazi. Kama vipi atinge mahakamani. Hili sio swala la Rais!!
 
Ndugu yangu Samia,

Ninajua umezongwa na vimemo,

Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.

Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu. ha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia CBA imeungana na NIC kuwa benki kubwa.

Kabla hili halijawa kubwa naomba ulishighulikie,nchi yetu inataka ajira sio kupunguza wafanyakazi.
Kama ni mwajiliwa huko get relaxed ila pia elewe uhalisia. You gotta know that NIC na CBA zote ni banks sa wakenya wakikuyu tycoons ukiacha CBA ni ya Kenyatta family, sasa katika M&A adjustments ikiwemo kupunguzw kwa wafanyakazi haiepukiki.

Kama ulikua ordinary employee yaani hujitumi kuwa extraordinary fyekeo la kupunguzw linakuhusu unless other factors considered.

Pia jua jambo hilo lilitokea wakati wa Savings&Finance Bank kabla haijanunuliwa na kumezwa na NIC , a lot happens. Tuliwapurua wafanyakazi wa kutosha. A sizeable number

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom