Elections 2010 Rais wangu ni dr slaa, my president dr slaa, unanilazimisha that is it

Obama08

Senior Member
Sep 17, 2010
181
1
ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa
waliojiandikisha mil 20
waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8
jk kapata 5 mil
dr slaa 2 mil
waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa, huwezi badilisha hilo
piga ua, dr slaa ur my life president hadi mungu anichukue, ccm jinamizi baya
dr slaa ni mkombozi, mkombozi
mtetezi wa taifa na wanyonge, wanyonge,
ni shujaa, shujaa, shujaaaaaaaaaaa
ni dr wa ukweli, ukweli na ni mkweli
kiboko wa mafisadi, mafisadi, mafisadi
anaweza kutoa mishahara, elimu, afya, nyumba bora, bora, boraaa
sikubali, usinilazimishe, don't force me, don't push me, kwa rais nisiye mtaka, i say no, nooo, nooooooooo
it is my legal right, it is my choice, it is democracy, nasema wazi kwa sauti kubwaaaaaaaaaaa, loud and clear, it is me, my president is dr slaa, dr slaa ww ni chaguo letu, ilikuwa hivyo na itabaki hivyo, juzi, jana, leo kesho na milele, u can not take that from me, period
 
ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa
waliojiandikisha mil 20
waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8
jk kapata 5 mil
dr slaa 2 mil
waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa, huwezi badilisha hilo
piga ua, dr slaa ur my life president hadi mungu anichukue, ccm jinamizi baya
dr slaa ni mkombozi, mkombozi
mtetezi wa taifa na wanyonge, wanyonge,
ni shujaa, shujaa, shujaaaaaaaaaaa
ni dr wa ukweli, ukweli na ni mkweli
kiboko wa mafisadi, mafisadi, mafisadi
anaweza kutoa mishahara, elimu, afya, nyumba bora, bora, boraaa
sikubali, usinilazimishe, don't force me, don't push me, kwa rais nisiye mtaka, i say no, nooo, nooooooooo
it is my legal right, it is my choice, it is democracy, nasema wazi kwa sauti kubwaaaaaaaaaaa, it is me, my president is dr slaa, dr slaa ww ni chaguo letu, ilikuwa hivyo na itabaki hivyo period

This VOICE has a strong message. I would not assume that all people are happy, nor are they at peace of mind.
 
ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa
waliojiandikisha mil 20
waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8
jk kapata 5 mil
dr slaa 2 mil
waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa, huwezi badilisha hilo
piga ua, dr slaa ur my life president hadi mungu anichukue, ccm jinamizi baya
dr slaa ni mkombozi, mkombozi
mtetezi wa taifa na wanyonge, wanyonge,
ni shujaa, shujaa, shujaaaaaaaaaaa
ni dr wa ukweli, ukweli na ni mkweli
kiboko wa mafisadi, mafisadi, mafisadi
anaweza kutoa mishahara, elimu, afya, nyumba bora, bora, boraaa
sikubali, usinilazimishe, don't force me, don't push me, kwa rais nisiye mtaka, i say no, nooo, nooooooooo
it is my legal right, it is my choice, it is democracy, nasema wazi kwa sauti kubwaaaaaaaaaaa, it is me, my president is dr slaa, dr slaa ww ni chaguo letu, ilikuwa hivyo na itabaki hivyo period

slaa atakuongezea wapi ndugu yangu, da thing z kukubali tu, na kustruggle to make things better
 
Nimekuwa nachuki kubwa sana kila nionapo nembo ya CCM......imezaa kitu ambacho ni kigeni ndani yangu...kama mtanzania mpenda amani sikutegemea jambo hili linitokee.....nimelazimishwa kupewa kiongozi ambae sikumtaka.....ni adhabu kubwa sana ambayo nitaitumikia kwa miaka 5....i wish kama...naomba niishie hapo.....machungu niliyonayo....hayakadiriki
 
Bado tupo pamoja Dr Slaa, hujaibiwa ww bali ni sisi, our right, choice, votes has been stolen, hatukubali, ur our President. Pipoooooz power, aluta continua, yaani ndio napiga kampeni sasa mara 100 zaidi
 
Back
Top Bottom