Matukio ya Jeshi la Polisi kuua raia hapa Tanzania sasa imekuwa kama kitu cha kawaida. Mifano mauaji yaliyomuusisha Zombe, maua ya raia kwenye mikutano ya kisiasa na matukio ya Jeshi la Polisi kutesa raia hadi kuwasababishia vilema. Je, kwa matukio haya bado Tanzania ni kisiwa cha amani?
Rais wangu umechaguliwa uilinde Katiba pamoja na roho za Watanzania, je unatekeleza wajibu huo?Binafsi sifurahishwi na hali hii katika nchi yetu.
Rais wangu umechaguliwa uilinde Katiba pamoja na roho za Watanzania, je unatekeleza wajibu huo?Binafsi sifurahishwi na hali hii katika nchi yetu.