Mtumbatu
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 362
- 170
Wakati Wanatanganyika wanasua sua na mahakama ya kadhi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa makadhi wa mahakama ya kadhi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee uteuzi huo unaanza Julai 06 mwaka 2013.
Dkt. Shein amefanya Uteuzi wa Makadhi Watatu wa Wilaya kupitia uwezo wa Kisheria chini ya kifungu
Namba 5 cha Sheria ya Mahkama ya Kadhi Namba 3 ya mwaka 1985 kama ilivyorekebishwa na Sheria Namba 4 ya mwaka 2003.
Makadhi hao ni Sheikh Othman Ame Chum, Shekh Abdulrahman Omar Bakar na Sheikh Khamis Kassim Haji.
Uteuzi wa Makadhi hao Umeanza Juni 06 mwaka huu.
Imetolewa na
Idara ya Habari Maelezo, Zanzibar
10/06/2013
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee uteuzi huo unaanza Julai 06 mwaka 2013.
Dkt. Shein amefanya Uteuzi wa Makadhi Watatu wa Wilaya kupitia uwezo wa Kisheria chini ya kifungu
Namba 5 cha Sheria ya Mahkama ya Kadhi Namba 3 ya mwaka 1985 kama ilivyorekebishwa na Sheria Namba 4 ya mwaka 2003.
Makadhi hao ni Sheikh Othman Ame Chum, Shekh Abdulrahman Omar Bakar na Sheikh Khamis Kassim Haji.
Uteuzi wa Makadhi hao Umeanza Juni 06 mwaka huu.
Imetolewa na
Idara ya Habari Maelezo, Zanzibar
10/06/2013