johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
Rais wa Zanzibar mh Dr Shein amefanya uteuzi wa washauri wawili watakaomshauri yeye na mmoja atakayemshauri Waziri wa ardhi
Dr Shein ameteua mshauri wa Rais katika maswala ya siasa.
Ameteua pia mshauri wa Rais katika mambo ya kale na Historia.
Na mwisho amemteua mshauri wa waziri wa Ardhi
Source Star tv habari!
Dr Shein ameteua mshauri wa Rais katika maswala ya siasa.
Ameteua pia mshauri wa Rais katika mambo ya kale na Historia.
Na mwisho amemteua mshauri wa waziri wa Ardhi
Source Star tv habari!