johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Rais wa Zanzibar Dr Hussein Mwinyi yupo mubashara Channel ten anatangaza baraza jipya la mawaziri.
Baraza la mawaziri limetangazwa lakini Wizara mbili zimebaki wazi na uteuzi utafanywa baadae nazo ni Wizara ya afya na Wizara ya Viwanda na Biashara.
Rais Mwinyi amesema kwa sasa hakutakuwa na Manaibu Waziri na endapo siku za mbele itajitokeza wizara itakayoonyesha umuhimu wa kuwepo naibu waziri basi atateuliwa.
Kuhusu wizara mbili kuwa wazi ni kwamba ACT wazalendo hawajapeleka majina kwa mujibu wa katiba na wala wawakilishi wake hawajala viapo hivyo wanasubiriwa.
========
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI ZANZIBAR:
1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji - Mudrik Ramadhan Soraga.
2. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - Masoud Ali Mohammed.
3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba na Utawala Bora - Haroun Ali Suleiman.
4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Jamal Kassim Ali.
5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi - Dokta Khalid Mohammed Salum.
6. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji na Mifugo - Soud Nahoda Hassan.
7. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali - Simai Mohammed Said
8. Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni - Tabia Mwita Maulid.
9. Wizara ya Biashara ya Maendeleo ya Viwanda. Hakuna Waziri.
10. Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi - Riziki Pembe Juma.
11. Wizara ya Maji na Nishati - Suleiman Masoud Makame.
12. Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto. Hakuna Waziri.
13. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale - Lela Mohammed Mussa.
14. Wizara ya Uchumi wa Bluu na Uvuvi - Abdallah Hussein Kombo.
15. Wizara ya Ujenzi - Rahma Kassim Ali.
Baraza la mawaziri limetangazwa lakini Wizara mbili zimebaki wazi na uteuzi utafanywa baadae nazo ni Wizara ya afya na Wizara ya Viwanda na Biashara.
Rais Mwinyi amesema kwa sasa hakutakuwa na Manaibu Waziri na endapo siku za mbele itajitokeza wizara itakayoonyesha umuhimu wa kuwepo naibu waziri basi atateuliwa.
Kuhusu wizara mbili kuwa wazi ni kwamba ACT wazalendo hawajapeleka majina kwa mujibu wa katiba na wala wawakilishi wake hawajala viapo hivyo wanasubiriwa.
========
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI ZANZIBAR:
1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji - Mudrik Ramadhan Soraga.
2. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - Masoud Ali Mohammed.
3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba na Utawala Bora - Haroun Ali Suleiman.
4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Jamal Kassim Ali.
5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi - Dokta Khalid Mohammed Salum.
6. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji na Mifugo - Soud Nahoda Hassan.
7. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali - Simai Mohammed Said
8. Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni - Tabia Mwita Maulid.
9. Wizara ya Biashara ya Maendeleo ya Viwanda. Hakuna Waziri.
10. Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi - Riziki Pembe Juma.
11. Wizara ya Maji na Nishati - Suleiman Masoud Makame.
12. Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto. Hakuna Waziri.
13. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale - Lela Mohammed Mussa.
14. Wizara ya Uchumi wa Bluu na Uvuvi - Abdallah Hussein Kombo.
15. Wizara ya Ujenzi - Rahma Kassim Ali.