Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,295
I am here already, once and alwaysWelcome to the politics.
I am here already, once and alwaysWelcome to the politics.
Huwa anamiliki vitu gani Zanzibar?Mazrui ni moja kati ya vibopa wa Zanzibar.
Anafanya siasa si kwa nia ya kutafuta mali
Ana mpunga mrefu mkuu?Huyu ndie Mustafa Karamagi wa ACT
Hiyo ndiyo siasa. Hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumuZitto & Co usiwaamini hata sekunde 1
Umetafakari na umetoa ubashiri ambao naamini utakuwa kweli tupuWatanganyika mambo Wazanzibar waachieni wenyewe.
Yakwetu yanatushinda, sasa hivi hakuna Polisi anaweza kumkamata Maalim Seif, kwahiyo wana nafasi ya kufanya harakati zao wakiwa serikalini bila kubughuziwa na mpaka IGP Sirro sasa hivi atalazimika kumpigia saluti Maalim Seif.
Mimi naamini wamejitafakari kwa kina sana kabla ya kufikia maamuzi, Wazanzibar wako tofauti sana na Watanganyika, kama kuna anayefikiria hawa wanafuata pesa serikalini anajidanganya na mtashangaa kuona ccm na ACT wanaungana kudai Zanzibar yenye mamlaka.
Kwenye ajenda ya Uzanzibar hawa jamaa ni wamoja, na hasa baraza la mawaziri la Magufuli kutoteuwa waziri kamili hata mmoja nalo ni bomu linasubiri kulipuka tu.
Mission accomplished. If you can not beat them join themPoleni vijana mliopoteza maisha mkiamini mnapigania haki kumbe mlipigania wachache wapate ulaji.
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa.Hii ni taarifa kutoka Zanzibar iliyotufikia hivi punde , kwamba Dr Hussein Mwinyi ameteua Ndugu Nassoro Mazrui ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo pamoja na Mwanasheria wa Chama hicho Omary Shaaban kuwa wajumbe wa baraza la Wawakilishi .
Huu ni muendelezo wa mambo ya SUK .
Tunawatakia kila la heri
====
Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi amemteua Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Nassor Ahmed Mazrui na mwanasheria mkuu wa chama hicho, Omar Said Shaaban kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
View attachment 1644003
Hongera zao!Anakwenda Kula Kitoga Safi Kimeungwa Nazi
Upo sahihi dingiHiyo ndiyo siasa. Hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu
Kweli raisi wa zanzibar ni muungwana Kama baba yakeHizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa.
Hongera sana ACT Wazalendo kwa kujitambua, hongera sana rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi kwa kuwa muungwana kama baba yako.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania..
P
Ikiwa Rais Mwinyi atatawala kama alivyoahidi kwenye hotuba yake ya kufungua Baraza la Wawakilishi, bila ubaguzi wa aina yeyote, idadi itaongezeka na yeye na chama chake watashinda bila figisu figisu zozote. ACT wataendelea kuwa washika shela kama Fatma Karume alivyo tabiri. Ila asipotimiza ahadi zake, utabiri wako utatimia na wengi ambao hawatapiga kura watakuwa waliokuwa wafuasi wa ACT-Wazalendo. Itakula pia kwa ACT-Wazalendo. CHADEMA na CUF vitabakia kuwa vyama vya bara. CUF itarudisha wafuasi wake wa bara lakini sio Zanzibar.2025 idadi ya wapiga kura sidhani kama itafika 50% ya hawa wa 2020, mwana yanayotokea ni matokeo ya yajayo.
•Note this comment.