Ha ha ha mkuuGenta hebu rudi kwenye ID yako tuliyokuzoea. au kuna tatizo mpaka umeamua kutumia hii ya akiba?
Halafu wife kuna wakati unakuwaga na point, ila kuna muda mwingine ukiwaga umekula maharage fulani fulani sikuelewi kabisa.Hawezi maana hiyo ni pre 2025 kuwa Rais wa JMT.
Hata mimi nakuona hili mkuu😊Watanzania tumezid ujuaji.
Chadema inahangaika na mambo ya kijingaNaona Mwinyi anamu outperform beberu jenzie la bara huko....
Mwinyi ni more democratic, more economically savvy, smarter, more likable zaidi ya jiwe
Sasa naona mawivu yameanza kuwatafuna wenyewe kwa wenyewe humo ndani
Na jinsi mawe hapendi kufunikwa,hakuna namna lazima afunikwe awe exposed kua hajui kitu.
Mwinyi ni huru ni rais wa nchi huru,sasa mawe ajiandae kufunikwa vya kutosha
Chadema ilionekana adui kwa kumu-expose mawe,sasa Mwinyi ndio anaexpose uzaifu wa hili jamaa fully
Mtajiju mambogamboga huko!
Anafunikwa vipi sasa?Hahahaaa
Kama inahangaika na ujinga si ni vizuri kwenu nyie CCM?
Yanini inakuuma?
Wacha Chadema ihangaike which is beneficial to you...
Mungu wa dunia hii anafunikwa,sijui mtamtumbua of which you cant..tena mkimzengua anajitoa kwenye muungano wa kibwege huu
Mawe anakua exposed how useless he is!
Deal with it mbogamboga!
Sasa hivi tunaelewana usijali. 2021 mwaka wa maelewano.Halafu wife kuna wakati unakuwaga na point, ila kuna muda mwingine ukiwaga umekula maharage fulani fulani sikuelewi kabisa.
Sasa hivi tunaelewana usijali. 2021 mwaka wa maelewano.
Kikwete and Mwinyi are 2 different people. Kikwete alikuwa jangling. He was Minister wa madini, finance etc. ukijua hela Ali Ona o nje utatapika. I think Mwinyi is a genuine guy, he cares. Kikwete didn’t care. Alisafiri weekly kama Samia. Does Samia know where Songea is?Kuna Mtu wako Mmoja wa karibu mno hasa kutoka Wizara uliyokuwa ukiiongoza huku Tanzania Bara kwa muda mrefu kanidokeza ya kwamba Role Models wako wakubwa Kiuongozi na ambao unawakubali sana ni aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Hussein Obama na Rais Mstaafu wa Tanzania kwa Awamu ya Nne Mzee Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Sikatai Mtu kuwa na Role Model au Role Models wake duniani kwani hata Mimi pia nilitamani kweli kweli kuwa kama Mchezaji wa Kifaransa japo ana Uraia wa nchi uliyowahi Kusoma pia ya Algeria Zinedine Zidane 'Zizzou' lakini nikajikuta sijafikia Malengo ya Kumuiga na kuwa kama Yeye hadi sasa nipo zangu tu hapa Kisiwani Pemba na Kazi yangu hii ya Kupara Samaki na Uvuvi pekee.
Mheshimiwa Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa takribani Mwezi sasa tokea uwe Rais huko nimeanza Kukuona ni Mtu unayependa sana Makamera na Kutupia Vitu vyako/ Mambo yako Mitandaoni. Na leo tena nimeona umetupia Picha uko ndani ya Ndege angani ukisoma Faili moja hivi kama vile alivyowahi kufanya Mzee Mwinyi na hata Rais Mstaafu wa Marekani Obama.
Ushauri wangu Kwako Mheshimiwa hebu punguza sana hizi mambo na fanya Kazi ngumu Kwanza ya Kuijenga vyema Zanzibar Isles, waunganishe vyema Wazanzibari na kazania mno masuala mazima ya Uchumi na Elimu zao na huko baadae Zanzibar yako ikikaa sawa sasa unaweza hata kuwa unatutupia Picha zako zingine ukiwa Dinning Room na Mkeo Bi. Mariam mnakula Kuku.
Na kuna Mtu Mmoja hivi wa juu yako Yeye mambo hizi huwa hapendi kwakuwa anataka awe Maarufu Yeye tu nchi nzima. Kuwa makini nae kabisa!