luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Mkuu maelezo yako yana nipa uwalakin huenda ww ndio mhe enjiniaKafanya kazi Barabara ya Wazo Hill(Tegeta) mpaka Bagamoyo Km 43 tena kama Works Supervisor
Alikua na Interest ya Kusoma Mechanical Engineering ila akaamua kwenda Civil Engineering kwakua chuo alichopata cha Mech ilibidi ajifunze kituruki kwanza. So huyu uhandisi ni passion iko kwenye damu
Kasoma ubungo National akachaguliwa Jangwani O-level na A-level miaka ile walikua wanachukua cream babu so sio wa kumchukulia poa
Mpemba aliyehamia Tanga na baadae Dar alikokulia, na kazi kafanya TANROSDS kabla ya kuwa RAS Tanga wakat wa JPM na baadae akawa karibu Mkuu wa wizara ya Nishati mpaka alivyoteuliwa kurudi Zanzibar jana
Huyu sio mwanasiasa usimchukulie poa