Rais wa Zanzibar Dkt.H.Mwinyi kumwapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu MPYA wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi ni tarehe 02-01-2021

Kafanya kazi Barabara ya Wazo Hill(Tegeta) mpaka Bagamoyo Km 43 tena kama Works Supervisor

Alikua na Interest ya Kusoma Mechanical Engineering ila akaamua kwenda Civil Engineering kwakua chuo alichopata cha Mech ilibidi ajifunze kituruki kwanza. So huyu uhandisi ni passion iko kwenye damu

Kasoma ubungo National akachaguliwa Jangwani O-level na A-level miaka ile walikua wanachukua cream babu so sio wa kumchukulia poa

Mpemba aliyehamia Tanga na baadae Dar alikokulia, na kazi kafanya TANROSDS kabla ya kuwa RAS Tanga wakat wa JPM na baadae akawa karibu Mkuu wa wizara ya Nishati mpaka alivyoteuliwa kurudi Zanzibar jana

Huyu sio mwanasiasa usimchukulie poa
Mkuu maelezo yako yana nipa uwalakin huenda ww ndio mhe enjinia
 
Back
Top Bottom