Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,087
- 17,124
Haujui unachokitaka GENTAMYCINE. Hivi Dr Mwinyi kaifanyia ZNZ au unadanganyika na uchumi wa buluu?Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Yeye mwenyewe Dr Hussein Mwinyi hajui uchumi wa buluu nini zaidi ya kuuza visiwa vidogovidogo.
Kuhusu Samia kuweka mipasho mbona ni vizuri kuliko MITUSI tuliyokuwa tunaogeshwa na Mwendazake!!