Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,670
hii habari nimeisikia kwa mbali ikisomwa toka vichwa vya habari magazetini. Nadhani ni gazeti la uhuru. Kamteua shehe mkuu na kadhi nadhani. Hii ina maana mfumo wa dini ya kiislam unatambulika rasmi zanzibar?