Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 30,875
- 30,593
Mufti na Kadhi wana nafasi gani serikalini huko Zanzibar?usidhani ni kweli habari hiyo. Kwani ulikuwa hujui hilo. Zanzibar wana Mufti na kadhi Mkuu yaani wao wana mahakama ya kadhi ambayo inashughulikia kesi zinahusu masuala ya dini ya Kiislamu kama ndoa, mirathi, talaka na kadhalika