Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Ni aibu kwa kweli.Imagine huyu ana mke na watoto halafu wanaona picha kama hii.
Ni aibu kwa kweli.Imagine huyu ana mke na watoto halafu wanaona picha kama hii.
Tujifunze jambo hapa
Rais wa Zambia Edgar Lungu akinyenyekewa na waziri wake wa Mifugo na uvuvi,
Rais wa Zambia Edgar Lungu akinyenyekewa na waziri wake wa Mifugo na uvuvi,
Alikuwa anatubu dhambi zake ukiangalia chini kulia utaona kuna kanzu ya dhambarau ya kiongozi wa dini
Wanawake wa kinyakyusa wana adabu bana.....................Mbona Wanawake wa Mbeya Kyela wanapiga magoti kwenye salamu na anapoongea na Mwanaume.
nimekuelewa asante kwa elimuJee Hii?
Rais Banda wa Malawi akizungumza na Kikwete?
Watu wa Malawi na Zambia ndiyo utamaduni wao. Kama unakumbuka wakati wa Kamuzu Banda ililetwa picha kwenye Daily News ikimwonyesha Balzo wa Malawi kule Harare akiwa amepiga magoti yeye na mke wake kumpokea Rais Kamuzu Banda.
Na huyo hapo chini ni mawaziri wa Malawi na Rais wa Malawi
Rais wa Malawi na wa Zambia wakibadilishana mawazo
soma reply #10Hata kama ni kutubu; anatubu na RAIS anasikiliza kutubu kwake??? Kwa hali yoyote hii haiko sawa
Basi anaungama maufisadi aliyofanyaHata kama ni kutubu; anatubu na RAIS anasikiliza kutubu kwake??? Kwa hali yoyote hii haiko sawa