Huyu Waziri ni kiazi Ulaya..
Rais wa Zambia Edgar Lungu akinyenyekewa na waziri wake wa Mifugo na uvuvi,
Maisha magumu waziri na pamba zake za kuungaunga koti mtaa wa Kongo suruali msimbazi lzm atoe mnyenyekeo wa haja
Rais wa Zambia Edgar Lungu akinyenyekewa na waziri wake wa Mifugo na uvuvi,
......WATAKUWA WAKIMBIZI KUTOKA HUKO MKUU......hahaha! Njo Ufipani Mkuu uwe shemeji , huku Mambwe (Mkoa wa Rukwa) huo ndio utamaduni wetu.
Kabisa na huyo waziri naye hajajielewa na utakuwa ufanyaji kazi wake ni wa wasiwasi mana kama angekuwa anajiamini na kazi anafanya inavyopaswa asingekuwa na muda wa kuchafua suruali kwa kupiga magoti.Bila shaka huyu ni dikteta uchwara mwingine.
Sharti ainame mapaka matako yapumueMTAKA CHA UVUNGUNI...........!!
Kabisa aiseeHuyu Waziri ni kiazi Ulaya..
Ndio !Kuna mchungaji pembeni inawezekana wanasali.Mbona kuna kasisi hapo? Huenda si kile kinachodhaniwa
Kabisa na huyo waziri naye hajajielewa na utakuwa ufanyaji kazi wake ni wa wasiwasi mana kama angekuwa anajiamini na kazi anafanya inavyopaswa asingekuwa na muda wa kuchafua suruali kwa kupiga magoti.
hahahaha! yaana ukija huku Rukwa uta-enjoy mkuu, hadi barabarani unapigiwa magoti......WATAKUWA WAKIMBIZI KUTOKA HUKO MKUU......
Ni kupenda kuabudiwa mana angekuwa mwingine asingekubali mazungumzo yaendelee huku mwenzie kapiga goti.Inasikitisha sana kumdhalilisha binadamu mwenzio kiasi hiki.
Waswahili wanapenda habari za ajabu ajabu kama hizi. Hapo kila mtu atatoa kashfa yake.Ndio !Kuna mchungaji pembeni inawezekana wanasali.
Ni kupenda kuabudiwa mana angekuwa mwingine asingekubali mazungumzo yaendelee huku mwenzie kapiga goti.