Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
Mdogo mdogo tutafika Kuna siku kaburi la jamaa fulani litafukuliwa mifupa ifungwe pingu
Kwahiyo unataka kumaanisha kujisalimisha kwake hakuna maana yoyote? Bali ni sawa na kwenda kituo cha polisi kumpelekea mtu wako chai?Hujui usemalo. Kuna majadiliano yamefanyika makali sana kati ya Zuma na police minister Bheki Cele. Damu ingemwagika kama Zuma angekataa kujisalimisha. Kilichofanyika ni kwamba Zuma ameshauriwa akubali kujisalimisha ili kuepusha "mgogoro wa kikatiba" maana alikuwa na uwezo wote wa kutokujisalimisha na police wangenywea kumkamata, na kama wangethubutu kumkamata machafuko makubwa sana yangetokea. Kwa hiyo busara imetumika ili kuwaaminisha wasouth africa kuwa no one is above the law. Na kaondoka kwenye kasri lake na msafara wa magari kibao kuelekeo polisi akiwa na wapambe kibao nyuma yake.
Sasa hivi nyupo ndani na anajuta kujisalimisha. Point ni kwamba angegoma kujisalimisha police wasingeweza kumkamata kwa nguvu la sivyo wangeua watu wengi sana kitu ambacho hawakukitaka. So Zuma kujisalimisha aliamini kwamba atatoka baada ya maombi yake ya kupinga hukumu ya kumfunga kutenguliwa. Sasa mahakama imetupilia mbali maombi yake na hana ujanja zaidi maana supporters wake sidhani kama wanauwezo wa kwenda kumtoa gerezani kwa nguvu. Kwa nyongeza ni kwamba Zuma aliombwa ajisalimishe ili aonekane anaiheshimu katiba maana kama angekataa kujisalimisha angeweka historia mbaya sana kwenye utawala wa sheria wa South Africa, so kwa muktadha huo aliamini akijisalimisha ataonekana ni muungwana, na pia atatoka jela baada ya maombi yake kusikilizwa. Sasa hivi yupo ndani na maombi yake yametupiliwa mbali na hana nguvu tena ya kutoka, laiti angeota kuwa maombi yake yatatupiliwa mbali asingejisalimisha na polisi wasingemfanya chochote maana supporters wake walikuwa wanasafiri kutoka majimbo mbalimbali ya SA kwenda kuhakikisha hakamatwi, na siku moja kabla ya muda wa kujisalimisha haujaisha Nkandla ambako ndiko nyumbani kwakwe kulikuwa kumezingirwa na supporters wake wenye mapanga na mikuki huku wakiimba nyimbo za kuhamasishana kumlinda Zuma. So unaweza kuona kwa jinsi gani damu ingemwagika kama nguvu ingetumika kumkamata.Kwahiyo unataka kumaanisha kujisalimisha kwake hakuna maana yoyote? Bali ni sawa na kwenda kituo cha polisi kumpelekea mtu wako chai?
Ungeliweka huo ushahidi ili sisi wenyewe tujisomee,bila hivyo nitafananisha hizi hadithi zako kama Ngonjera na Ngano za Vikongwe.Sasa hivi nyupo ndani na anajuta kujisalimisha. Point ni kwamba angegoma kujisalimisha police wasingeweza kumkamata kwa nguvu la sivyo wangeua watu wengi sana kitu ambacho hawakukitaka. So Zuma kujisalimisha aliamini kwamba atatoka baada ya maombi yake ya kupinga hukumu ya kumfunga kutenguliwa. Sasa mahakama imetupilia mbali maombi yake na hana ujanja zaidi maana supporters wake sidhani kama wanauwezo wa kwenda kumtoa gerezani kwa nguvu. Kwa nyongeza ni kwamba Zuma aliombwa ajisalimishe ili aonekane anaiheshimu katiba maana kama angekataa kujisalimisha angeweka historia mbaya sana kwenye utawala wa sheria wa South Africa, so kwa muktadha huo aliamini akijisalimisha ataonekana ni muungwana, na pia atatoka jela baada ya maombi yake kusikilizwa. Sasa hivi yupo ndani na maombi yake yametupiliwa mbali na hana nguvu tena ya kutoka, laiti angeota kuwa maombi yake yatatupiliwa mbali asingejisalimisha na polisi wasingemfanya chochote maana supporters wake walikuwa wanasafiri kutoka majimbo mbalimbali ya SA kwenda kuhakikisha hakamatwi, na siku moja kabla ya muda wa kujisalimisha haujaisha Nkandla ambako ndiko nyumbani kwakwe kulikuwa kumezingirwa na supporters wake wenye mapanga na mikuki huku wakiimba nyimbo za kuhamasishana kumlinda Zuma. So unaweza kuona kwa jinsi gani damu ingemwagika kama nguvu ingetumika kumkamata.
Kwa ufupi tu, hiyo ni intelijensia ya polisi ilifanya kazi vilivyo wala kwenda polisi hayakuwa matakwa yake, alishawishiwa kwa kudanganywa mpaka akakubali na hiyo ni kawaida ya polisi inapotaka kukama raia na wakagundua maali ulipo wakikukamata hovyo watazua vurugu.Sasa hivi nyupo ndani na anajuta kujisalimisha. Point ni kwamba angegoma kujisalimisha police wasingeweza kumkamata kwa nguvu la sivyo wangeua watu wengi sana kitu ambacho hawakukitaka. So Zuma kujisalimisha aliamini kwamba atatoka baada ya maombi yake ya kupinga hukumu ya kumfunga kutenguliwa. Sasa mahakama imetupilia mbali maombi yake na hana ujanja zaidi maana supporters wake sidhani kama wanauwezo wa kwenda kumtoa gerezani kwa nguvu. Kwa nyongeza ni kwamba Zuma aliombwa ajisalimishe ili aonekane anaiheshimu katiba maana kama angekataa kujisalimisha angeweka historia mbaya sana kwenye utawala wa sheria wa South Africa, so kwa muktadha huo aliamini akijisalimisha ataonekana ni muungwana, na pia atatoka jela baada ya maombi yake kusikilizwa. Sasa hivi yupo ndani na maombi yake yametupiliwa mbali na hana nguvu tena ya kutoka, laiti angeota kuwa maombi yake yatatupiliwa mbali asingejisalimisha na polisi wasingemfanya chochote maana supporters wake walikuwa wanasafiri kutoka majimbo mbalimbali ya SA kwenda kuhakikisha hakamatwi, na siku moja kabla ya muda wa kujisalimisha haujaisha Nkandla ambako ndiko nyumbani kwakwe kulikuwa kumezingirwa na supporters wake wenye mapanga na mikuki huku wakiimba nyimbo za kuhamasishana kumlinda Zuma. So unaweza kuona kwa jinsi gani damu ingemwagika kama nguvu ingetumika kumkamata.
Unataka ushahidi gani? Huwa unafuatilia siasa za South africa wewe?Ungeliweka huo ushahidi ili sisi wenyewe tujisomee,bila hivyo nitafananisha hizi hadithi zako kama Ngonjera na Ngano za Vikongwe.
Kabisa mkuu! Walimwamnisha hatakaa ndani zaidi ya siku ya kusomwa rufaa yake. Ameingia kwenye kumi na nane zao wakapiga bao hapo hapo.Kwa ufupi tu, hiyo ni intelijensia ya polisi ilifanya kazi vilivyo wala kwenda polisi hayakuwa matakwa yake, alishawishiwa kwa kudanganywa mpaka akakubali na hiyo ni kawaida ya polisi inapotaka kukama raia na wakagundua maali ulipo wakikukamata hovyo watazua vurugu.
Uzuri kule wana vilainishiAcha akapigwe miti.
Uzuri kule wana vilainishi
Hao watu wangepuliziwa gasi na kizimia kiulaini kabisa.Sasa hivi nyupo ndani na anajuta kujisalimisha. Point ni kwamba angegoma kujisalimisha police wasingeweza kumkamata kwa nguvu la sivyo wangeua watu wengi sana kitu ambacho hawakukitaka. So Zuma kujisalimisha aliamini kwamba atatoka baada ya maombi yake ya kupinga hukumu ya kumfunga kutenguliwa. Sasa mahakama imetupilia mbali maombi yake na hana ujanja zaidi maana supporters wake sidhani kama wanauwezo wa kwenda kumtoa gerezani kwa nguvu. Kwa nyongeza ni kwamba Zuma aliombwa ajisalimishe ili aonekane anaiheshimu katiba maana kama angekataa kujisalimisha angeweka historia mbaya sana kwenye utawala wa sheria wa South Africa, so kwa muktadha huo aliamini akijisalimisha ataonekana ni muungwana, na pia atatoka jela baada ya maombi yake kusikilizwa. Sasa hivi yupo ndani na maombi yake yametupiliwa mbali na hana nguvu tena ya kutoka, laiti angeota kuwa maombi yake yatatupiliwa mbali asingejisalimisha na polisi wasingemfanya chochote maana supporters wake walikuwa wanasafiri kutoka majimbo mbalimbali ya SA kwenda kuhakikisha hakamatwi, na siku moja kabla ya muda wa kujisalimisha haujaisha Nkandla ambako ndiko nyumbani kwakwe kulikuwa kumezingirwa na supporters wake wenye mapanga na mikuki huku wakiimba nyimbo za kuhamasishana kumlinda Zuma. So unaweza kuona kwa jinsi gani damu ingemwagika kama nguvu ingetumika kumkamata.
Usikute katiba yenyewe ilitungwa kipindi cha apartheid police na wazungu,coz Africa bado tunatumia sheria za wazungu.Hivyo basi lazima itambana mtu mweusi tuUnadhani katiba ya south afrika nikama yenu tz.poleyako
Wapo watu walikua wanadanganyana kuwa eti Zuma watamlinda jana police imetoa Tangazo siku ikiisha bila kujisalimisha atakamtwa kwa nguvu wahuni wote wamerudi nyuma ambao walisema damu itamwagika Zuma hawawezi kukamatwa...
Poleyako kwasafari katavi hawajamboUsikute katiba yenyewe ilitungwa kipindi cha apartheid police na wazungu,coz Africa bado tunatumia sheria za wazungu.Hivyo basi lazima itambana mtu mweusi tu