Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ahukumiwa kifungo cha miezi 15 gerezani

Ndo mana watawala wa CCM hawatataka kusikia mambo ya katiba mpya
 
Tatizo LA Zuma lilianza baada ya kufanikiwa kuchukua uongoz wa chama na kumfanyia figisu Mbeki mpaka akaachia ngazi kwa hiyo sasa hv analipia bili kwa yale aliyofanya
 


We can’t allow Zuma to speak in parliament, Julius Malema


On this occasion I salute honourable Julius Malema for reminding the head of executive pillar and the speaker to adhere to the demands of the constitution that once you take an oath you have to abide to it and not disregard the vow to protect the constitution just because you are the head of the state or a speaker of the house.
 
Acha uzushi
Asa unabisha Nn? Wakati Hii Kesi Inaanza Zuma Alipeleka P.O HC akiomba Jaji Zondo ajiondoe kwasaba Jaji Zondo akiwa Wakili Kabla hajawa Judge Aliwahi Kuwa Wakili Wa Complainant mmojawapo Ila Zondo akagoma kujiondoa
 
Asa unabisha Nn? Wakati Hii Kesi Inaanza Zuma Alipeleka P.O HC akiomba Jaji Zondo ajiondoe kwasaba Jaji Zondo akiwa Wakili Kabla hajawa Judge Aliwahi Kuwa Wakili Wa Complainant mmojawapo Ila Zondo akagoma kujiondoa
Zuma anakashifa nyingi sana pindi yuko madarakani ya kupiga pesa ndefu kujenga mijengo ya kifahari unaposema anabifu na jaji unamaanagani?
 
Zuma amekuwa Kwenye Hii mess kwa sabb ya Firm ya Mabuza attorneys. They advised him not to appear before the Zondo Commission of inquiry... Wajinga Sana Hawa
 
Zuma anakashifa nyingi sana pindi yuko madarakani ya kupiga pesa ndefu kujenga mijengo ya kifahari unaposema anabifu na jaji unamaanagani?
Zuma Aliwahi kumwambia Judge Zondo Kwamba U made himself a Witness and a Judge and he is now going to be reported to Justice system commission Lakini Kwenye inquiry Zuma hakuweza Kuthibitisha hizo Alergations zake
 
Zuma amekuwa Kwenye Hii mess kwa sabb ya Firm ya Mabuza attorneys. They advised him not to appear before the Zondo Commission of inquiry... Wajinga Sana Hawa
emoji19.png
emoji19.png
Mkuu umetia Nkandla report, Dudu Myeni umepitia riport yake pesa zilizopogwa SA airline ? Hapo jaji kaingia?
 
Mkuu umetia Nkandla report, Dudu Myeni umepitia riport yake pesa zilizopogwa SA airline ? Hapo jaji kaingia?
Duuuh aiseeeh, elewa Kaka Hii Ni Ruling/Uamuzi Wa Kesi Ndogo ndani ya Kesi Kubwa, Kwa Maana ya Zuma kukataa Kwenda kutoa ushahidi so akapigwa Contempt Ila Kesi ya Msingi inaendelea
 
Hio ndio democracy ,the rule of law

Nobody is above the law even the president himself/herself.

Huku ndugai anatumia tu madaraka vibaya kwa kuwalipa mishahara covid 19 .

Angekuwa sauzi angekuwa anajihakikishia kunyea mtondo/debe
Waiting TO HEAR from USA.
 
Jela ni nyumbani huyo, keshakaa sana kipindi cha makaburu na alikuwa anakuwa refa kwenye game za jela... Anaenda tour tu, ila tofauti ni kuwa this time anaenda kitemi.
 
Mahakama ya Juu zaidi Nchini Afrika Kusini imemhukumu aliyewahi kuwa Rais wa Taifa hilo, Jacob Zuma kifungo cha miezi 15.

Uamuzi huo umekuja baada ya Mahakama ya Kikatiba kumkuta na hatia ya kudharau Mahakama baada ya kukaidi agizo la kufika kwenye Uchunguzi wa Ufisadi wakati akiwa Rais.
======

South Africa's former President Jacob Zuma has been sentenced to 15 months by the highest court in the country.

This came after the Constitutional Court found him guilty of contempt after defying the court's order to appear at an inquiry into corruption while he was president.

Mr Zuma's time in power, which ended in 2018, was dogged by graft allegations.

Businessmen were accused of conspiring with politicians to influence the decision-making process.

The former president made one appearance at the inquiry into what has become known as "state capture" but then refused to appear subsequently.

The inquiry - headed by Justice Raymond Zondo - asked the Constitutional Court to intervene.

It is not clear if Mr Zuma will now be arrested.

In a separate legal matter, Mr Zuma pleaded not guilty last month in his corruption trial involving a $5bn (£3bn) arms deal from the 1990s.

Source: BBC
Vipi huku,mfano utawala wa Magufuri ungemfunga Mstafu Kikwete,watu wangelisema Magufuri Mpaka basi kuwa anavisasi,Kama amejaribu kuwakamata Wakina Lugemarila na wezi ambao ktk utawala wa Mkwere,watu wamepiga kelele kuwa, utawala wa Magufuri alikuwa unaonea watu.Watanzania hatujajua tunaitaji kuongozwa na Rais gani; Maana akija mkali kidogo watu wanalilia,akiwa mpole napo wanalalamika.Me nasubili tuongozwe na malaika labda ndio tutaacha malalamiko.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom