boma2000 JF-Expert Member Oct 18, 2009 3,280 310 Nov 23, 2010 #21 Anamwambia big up mr. president uwe unanikumbuka kumbuka, pia mnipeleke marekani nikatibiwe maana nimekuwa mbunge
Anamwambia big up mr. president uwe unanikumbuka kumbuka, pia mnipeleke marekani nikatibiwe maana nimekuwa mbunge
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Nov 24, 2010 #22 Maria Roza said: Mhh mbona namuona Mrema na huyo mwingine si Juma nature huyooo!!!:teeth::teeth::teeth: Click to expand... wapo na mzee yusuph.
Maria Roza said: Mhh mbona namuona Mrema na huyo mwingine si Juma nature huyooo!!!:teeth::teeth::teeth: Click to expand... wapo na mzee yusuph.
JOYCE PAUL JF-Expert Member Jan 8, 2010 1,005 82 Nov 24, 2010 #23 Mbona mnabadili mada?mrema kawafanya nini ?muheshimiwa kikwete anaburudika baada ya kazi nzito za kujenga taifa
Mbona mnabadili mada?mrema kawafanya nini ?muheshimiwa kikwete anaburudika baada ya kazi nzito za kujenga taifa
B'REAL JF-Expert Member Oct 20, 2010 4,279 2,733 Nov 26, 2010 #24 Ndibalema said: Naskia kashaikanyaga. Click to expand... duh!!jamaaaa mzee wa njii anaogonjwaa wa ngozii banaaa,ilaa kwanini jamaa haachi kibarakashee ananinii kichwani....nijuzeni
Ndibalema said: Naskia kashaikanyaga. Click to expand... duh!!jamaaaa mzee wa njii anaogonjwaa wa ngozii banaaa,ilaa kwanini jamaa haachi kibarakashee ananinii kichwani....nijuzeni